Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Pole, nikajua tyr ushalifanyia MAFEKECHE.. nenda hospital waliamulie nini cha kulifanya, maumivu ya jino ni mabaya sana.Ahsante,limetulia ngoma usiku,
Nipo bubu tu hapa,sitamani hata kula siku ya leo.
Pole sanaAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Udhibitisho upi? Hivi,kabla hizo dawa za kizungu hazijaja,watu walikuwa hawaugui nankutibiwa kwa hizo dawa?Uongo unataka kuuza tu dawa za kienyeji ambazo Hazina uthibitisho
Nenda kaonane na Dentist, watanzania sijui kwann hatujali afya zetu.Assalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Nilikuwa na jino lililotoboka nikawa nalipuuzia. Lilikuwa linauma na kuacha. Watu walikuwa wananiambia ukitoa jino moja, ugonjwa unahamia kwenye jino jingine. Siku moja lilianza kuuma kwenye saa 5 ya usiku. Sikulala na sitasahau hiyo siku. Sikulala hata kidogo na mpaka kufika asubuhi nilikuwa hoi, usoni nimechoka kama mtu aliyeumwa miezi kadhaa. Saa 12 nilishatoka nyumbani kwenda hospital. Jino likatolewa. Mpaka sasa imepita miaka zaidi ya 20 na nashukuru, meno mengine yote ni mazima, na ile sehemu iliyotolewa jino ilishafunga kwa meno mengine kutanuka.Uking'oa jino bacteria uhamia jino lingine,zipo dawa zinafanya vzuri kutibu meno bila kung'oa wacheck Modern traditional clinic,Wana dawa nzuri ya kusukutua
Hongera mkuu, Mimi nilijutaHapana,
Nilifanya root canal miaka karibu 7 iliyopita jino lipo vizuri natafunia nyama kama kawaida.
Huo ndio uongo wa waganga wa kienyeji ndio maana Huwa siendi kwao Mwongo mkubwa na tapeli wewe.Uking'oa jino bacteria huhamia jino jingine
Comment zenu zinanichekesha hadi nashindwa kucheka.Huo ndio uongo wa waganga wa kienyeji ndio maana Huwa siendi kwao Mwongo mkubwa na tapeli wewe.
Maumivu ya jino ni shida,usiku sijalala hata kidogo na hapa naogopa ata kula yaani.Nilikuwa na jino lililotoboka nikawa nalipuuzia. Lilikuwa linauma na kuacha. Watu walikuwa wananiambia ukitoa jino moja, ugonjwa unahamia kwenye jino jingine. Siku moja lilianza kuuma kwenye saa 5 ya usiku. Sikulala na sitasahau hiyo siku. Sikulala hata kidogo na mpaka kufika asubuhi nilikuwa hoi, usoni nimechoka kama mtu aliyeumwa miezi kadhaa. Saa 12 nilishatoka nyumbani kwenda hospital. Jino likatolewa. Mpaka sasa imepita miaka zaidi ya 20 na nashukuru, meno mengine yote ni mazima, na ile sehemu iliyotolewa jino ilishafunga kwa meno mengine kutanuka.
Ila karafuu inachimba jino Dr aliniambia, jino langu lilitoboka nikafanya hiyo root canalKama upo nje ya nchi jaribu kununua online iwe akiba ya baadae, Ushauri wangu kama upo nje nenda kwa dentist kama unayo insurance kama huna zipo community hospital mwambie asafishe halafu aweke root canal ya gel ipo white. Mimi nimefanya hivi miaka 10 sasa nipo poa tu.
Nenda soko kubwa lolote la wilaya hapo ulipo ulizia wanapouza viungo utaipata karafuu.Nipo mkoani mwenzangu.
Ahsante sana kwa muongozo.Nenda soko kubwa lolote la wilaya hapo ulipo ulizia wanapouza viungo utaipata karafuu.
Ni kweli ila kutumia kwa Wiki mbili hakuna shimo litakalo chimbika hata baking soda inachimba ukitumia zaidi ya wiki 2. Ila Hio monkey brand inarudisha shimo la jino na kuwa zima kama mwanzo.Ila karafuu inachimba jino Dr aliniambia, jino langu lilitoboka nikafanya hiyo root canal
Dawa iliyonisaidia mi ni zile za forever living products,nzuri snTafuna kitunguu swaumu fasta inapoa au nunua dawa ya meno jina sensodyne zinauzwa pharmacy ni kama Colgate bei imechangamka kuanzia elf Tano ndogo
NoDawa ya jino likiuma huwa ni kuling'oa... sijawahi kuamini dawa nyingine..
Me nilishawahi kushauriwa nisukutue mkojo wangu wakati linauma...hakuna kilichosaidia...
Nikaenda kung'oa....
Nimeshang'oa 5 mpk hapa🙌🙁Kipenzi dawa ya jino ni kung'oa, ukifanya root canal jiandae kwa maumivu mara nne ya hayo baada ya mda.. Fanya tu maamuzi magumu uliondoe