Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Kwa ss sihitaji dawa ya maumivuKanunue Vivian umeze kwa siku 5, Kisha tafuta dawa ya asili.
👉Huwa Ina piga ganzi, Kwisha kazi🤒
Dah nina ndugu zangu watatu, Henley beach (sijui nimeandika kwa usahihi.) Tukiongea hawaachagi kuniambia how cool is Adelaide 😊Niko jiji la Adelaide mkuu
Ndo mti Gani huuTafuna majani ya mkaratusi mkuu,
utanishukuru badae
Duh meno ni issue jmnRoot canal ya gel ipoje mimi Nina Mashimo mawili nawaza kwenda kuyaziba naogopaa
Shida mme zoea daslam😄🤣🤣, niku tumiee??Ndo mti Gani huu
KwakweliUkipona usisite kuleta mrejesho na wengine wapone kipenzi
Karibu sana, jina umepatia. Ni nje kidogo sana ya hapa CBD ya Adelaide.Dah nina ndugu zangu watatu, Henley beach (sijui nimeandika kwa usahihi.) Tukiongea hawaachagi kuniambia how cool is Adelaide 😊
Mungu akipenda nitawatembelea 2026.
NakusubiriMaeneo ya Machinga complex stand chini ya jengo palipo uvungu . Kuna Jamaa anauza dawa ya meno 2000 sasa nadhani 3000 tu. Ukitumia utapona kabisa. Jamaa ajengewe sanamu. Ni noma. Nilikuwa navimba fizi damu na usaha vinatoka nilipotumia dawa yake tu mwaka wa 3 sasa ni history imebaki
Upo mkoa gani nikuunganishe na mtu aliyeko huko ukapone hilo jino lako. Kama miaka 5 imepita nilifanyiwa dawa ya jino ya ajabu sana, hadi sasa sina maumivu ya jino tena. Cha kushangaza nilimpa 10k tu halafu yeye akawa anaiona kama Billion vile maana wengi anaowafanyia hiyo jino humpa Kati ya 500 hadi 2000 tu😀Hapana Kwa ss sihitaji dawa ya maumivu
Nahitaji dawa itakayomaliza tatizo lisijirudie
Nisaidie hiyo dawa ya asili ni ipi?
Sawa bwanaTayana-wog SI ume uliza, ndo Mana nika kwambia Ume zoea daslam🙄
Hiyoo iko mkoani, ni Kama ungaa.Sawa bwana
Type hiyo dawa basi
kuanzia sasa kila siku uwe unatafuna karafuu. shida za meno utaishia kuzisikia kwa watu. sijawahi kungoa jino maishani mwangu toka nijitambue wala maumivu ya menoAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
siku hizi hakuna kungoa wanaua tu mizizi ya jino linabak na kaz ya kutafuna.Kipenzi dawa ya jino ni kung'oa, ukifanya root canal jiandae kwa maumivu mara nne ya hayo baada ya mda.. Fanya tu maamuzi magumu uliondoe
nawomba naaa mimj niingirie kinyanganyiro. je swal atakubal kuish kw a shida na laha na mbeba tofar kutoka meru kwa sasa dathlamOhh 😊 Asante sana mkuu.
Nina mdogo wangu, tena copy & paste na Mimi, ila kwa mbaliii kanizidi uzuri ukiwa tayari nitakupa. Ila ndio hawa sijui mnawaita generation Z 😅
AmenPole sho… Mungu akufanyie wepesi.
Asante