ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hahaha si unajua wazungu tunawashangaaga huku nilifurahi balaa na hivi najitoaga ufaham nikamfuata mmoja nikamwabia do you enjoy the show akajib yeah nkamwabia fanya malomoni hapo I want biaKwamba singida kuna wazungu wanne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa sikupapenda ukame sana, maji ya shida.
Kuna uzuri wake, kuku wengi bei chee, nyama ya mbuzi nyingi bei chee, wanyiramba ni wakarimu niliwapenda... nilikua nakaa na tsh 30000 tu ndani inamaliza mwezi mishahara inakutana kwenye account matumizi hakuna
Okay sawa plz naomba hayo mashudu aise kama hutojaliSasa mkuu dunia ya Sasa hujui watu tunafanya mishe mishe nyingi
Iko hv yale mashati dakika ya mwisho nilimpa mjomba wangu akakopeshe watu wa bush maana kipindi hiko walikuwa hawana hela so Leo ndo nateremka bonde la ufa huko kuchukua alizeti badala ya pesa..baadae alizeti naianika naikoboa then mafuta nauza
😂😂😂😂😂😂Hahaha si unajua wazungu tunawashangaaga huku nilifurahi balaa na hivi najitoaga ufaham nikamfuata mmoja nikamwabia do you enjoy the show akajib yeah nkamwabia fanya malomoni hapo I want bia
Akatoa 10000 sa ngapi nisivute Safari kubwa tatu
Ukikoboa unawaachia mashudu unakobolewa bureOkay sawa plz naomba hayo mashudu aise kama hutojali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We unaonaje nikulipie hiyo elf 6 unipe hayo mashuduUkikoboa unawaachia mashudu unakobolewa bure
Ila ukiyataka mashudu kila gunia unatoa 6000
Sasa si inatakiwa tusimamie wote kiwandani na wewe uwepo uyasafirishe mwenyewe.tuombe uzimaWe unaonaje nikulipie hiyo elf 6 unipe hayo mashudu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa si inatakiwa tusimamie wote kiwandani na wewe uwepo uyasafirishe mwenyewe.tuombe uzimaWe unaonaje nikulipie hiyo elf 6 unipe hayo mashudu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maisha huko ni magumu kupata cash ni kaziNyumba ipo mtaa gani? 25000? Eeenh mbona cheap ivyo
Mkuu Ndege John hivi wale samaki wa Kindai na Singida Munangi au Singidani na Kambare wa Magugumuka bado wapo...afu umenikumbusha mnadani njia panda na kila J,mosiSiku hizi Ni advanced level only
Kwa hiyo ukienda Nyanza Bar kule Kindai au Kambi ya fisi hapo kati zipo hizoEwaaa pia ipo kangara ile wanaweka asali ukipiga chibuku ndogo unaoza kbs
Mbona kawaida tu km ilivyo mikoa mingine inategemea unafanya mishe ganiMaisha huko ni magumu kupata cash ni kazi
Wapo ila siku hizi kdg...Kuna wale wanaotoka kisisi soko lake liko ukombozi..Mkuu Ndege John hivi wale samaki wa Kindai na Singida Munangi au Singidani na Kambare wa Magugumuka bado wapo...afu umenikumbusha mnadani njia panda na kila J,mosi
Au daima bar kule unyankindi ipo Ila wanachakachua ukitaka OG nenda mabush ya huko makiunguKwa hiyo ukienda Nyanza Bar kule Kindai au Kambi ya fisi hapo kati zipo hizo
Source ya utafiti wako pleaseHistoria ya huko hakuna mwanamke wa makabila ya hapo mwenye historia ya kudumu ktk ndoa kwa miaka mitano
Tatizo nini??Nakubaliana na hilo... Kuna jiran hapa karudisha wake Juzi tuu.
VIP I kuhusu biashara za kawaida kama vile, accesories za simu au labda electronics Mkuu, au labda biashara ya nguoUnaweza kuchukua alizeti kijijini kwa Bei mzuri unaweka stock ukija kukamua baadae unapiga hela
Tulikuwa tunaenda mbali kidogo jina nimelisahau,lkn wafugaji wengi walikuwa wanapita pale Mwenge kwenda huko.Pale njia panda(penye makutano ya Barabara za Arusha, Ngimu na Makiungu)?