Naomba kujua hasa Wasifu wa huyu Mtu aitwae 'Waziri' ninayemuona 24/7 akiwa nyuma ya Rais Samia huku akiwa anasikilizwa na hata Kuogopwa pia?

Anaitwa Wazir Warsaw (kama spelling) ni msaidizi wa Rais katika shughuli na itifaki zote. Lakini pia ni mshauri binafsi katika maswala kadhaa kama ambavyo wewe na mimi tunaweza kua na washauri. Ni mtu smart sana na ana akili nyingi na ni humble sana. Hana makuu, hana kashfa na ni mfia dini mzuri sana. Wachache wanaweza kumchukia na kumzungumzia negative hasa wale chawa chawa wa zamani, lakini jamaa ni so fa so good sana..
 
Una uhakika?
 
Haya maelezo kwa jinsi yalivyoandikwa kwa Utetezi Uliotukuka / Kujitetea Kulikotukuka unaweza kusema Mhusika ndiyo kaama kuja Kujitetea ila kumbe wala siyo Yeye bali ni Member tu wa JamiiForums ambaye huenda akawa anamjua vyema Mhusika / Mlengwa katika huu Uzi ambaye ni Waziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…