Naomba kujua kwanini ukimtolea Mwenyezi Mungu Fungu lake la 10% kutoka katika Mshahara wako huku ukiwa na Furaha nae hukubariki maradufu?

Sasa ndio naamini wazungu walituachia Biblia na wao wakaondoka na madini yetu, bado wanakuhadaa uwape tena sehemu ya kumi.
 
Kwamba Mungu ana Akaunti Duniani ?
 
Hiyo pesa wanakula wajanja kilaini bila ya jasho.
Kikubwa umemtolea Mwenyezi Mungu na anaona hivyo utaendelea Kubarikiwa nae hata kama hao Wajanja wako wataila huku wakisubiria Laana yao ambayo itawala Kizazi na Kizazi.
 
Sasa ndio naamini wazungu walituachia Biblia na wao wakaondoka na madini yetu, bado wanakuhadaa uwape tena sehemu ya kumi.
Kwani hiyo Hela naitoa katika Mshahara wako au wangu Mimi GENTAMYCINE? Nasubiria jibu lako Wewe Zozola ( Mjinga ) sawa?
 
Aliyekuzaa.
Swali liinamachaguo mawili tu,

Aliyenizaa mm hayupo hapa JF

Hivyo hawezi kuwa certified fool hapa JF.

Ni vyema kuwa na busara na majibu unayoyatoa.

Sadaka unazotoa tu zinaweza kukupa haki ya kuwa certified fool wa JF.

Habari za kuhadaa watu watoe sadaka kwa moyo wao mmoja sio fair..

Pamoja na kuhubiri humu, bado unataka kutukana watu pasina sababu.

This is insane.
 
Reactions: 511
Malaki 3:10

Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
 
Huu ni Utaratibu wangu wa miaka kuna kipindi niliacha nikawa juani mbaya. Miaka ya hivi karibuni tena kwakweli namuona Mungu Sana,na Kibiblia tunatoa kwasababu tunampenda Mungu kwahiyo tunatoa kwa Furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…