Wakuu msaada wenu tafadhari msinitelekeze ,Mimi kijana wenu bado nahitaji msaada wenu.Tusaidiane ndugu zanguni .yeyote ambaye anatamani kunisaidia naomba anisaidie hata kwa mkubliano na miktaba.ndugu zangu nikweli Leo naomba msaada wenu najua wengi wenu uwezo upo. Ndugu zangu Mimi ni MTU wa imani hivyo naamini kabisa maisha ya MTU yapo kwa MTU,hakuna ambaye alipambana peke yake bila msaada wa MTU na akafanikiwa iwe msaada wa pesa,mawazo au elimu.ndg zanguni naombeni msaada wenu mm ni kijana ambaye na miaka 24 situmii chochote lbda kilevi yani sina ,hata kuvuta sigara siwezi hata kushabikia mipra siwezi.hvyo huenda mkahisi lbda sijafikilia kuwaomba msaada hapa.nisaidie ndg zangu.kuna fulaha kutoa kuliko kupokea.asanteni sana