Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Acha Kunipotezea muda Wewe Moron Ok?
mchezaji wa maana hawezi kubali sajiliwa na yanga. yaani asionekane kinataifa, asitake mshahara mkubwa kama wa miquison au chama. huo ni ujuha. fei tangu acheze yanga hajachukua ubingwa na wala hamna timu hata moja ya nje iliomtaka.
 
Hakuwepo na kwa Uchezaji wake huu ( ule ) angekuwepo nina uhakika angekuwa Msaada mkubwa kwa Yanga SC na huenda isingeishia hapo ( pale ) ilipoishia.
ramli mshaanza kupiga sasa. na zanaco pia hakucheza?
 
Ndugu msamehe tu huyo Mwana Simba SC Mwenzangu kwa Ujuha ( Upumbavu ) wake huo na ongea ( bishana ) na Sisi akina Mightier ambao hatuna Unafiki na tunaongelea zaidi Mpira na Ufundi wake.

Yanga SC kwa Khalid Aucho mmepatia.
hivi unampaje mtu kuwa kiungo bora kwa mechi moja au 2. hivi nyinyi mpo sawa kweli? hayactuambieni sasa yanga ishapata muunganiko au bado
 
Kumbe hizo timu nne ndo Bora kabisa na zenye wachezaji Bora kabisa nje ya hizo hamna mchezaji wa kuwazdi hao eti. Vp timu ya Taifa lwanga na aucho ni Nani ana nafasi? Kwahiyo kama ni takwimu ndo zinaongea mpaka sasa toka ngao ya jamii na ligi kuanza mpk sasa kitakwimu Kati ya aucho na lwanga Nani Bora?
Usiniketee history hapa za club bingwa kama ni Mambo ya history Yanga ni Bora kuliko simba
kuita mcheza timu ya taifa ni utashi wa kocha, anaweza akaja mwingine akawaacha wote hao na akamuita mwengine. kuitwa timu ya taifa hakukufanyi kuwa bora ya alieachwa
 
Kwahiyo mnamsema Marehemu Hans Pope kuwa alichemka!.

Ila Ligi bado haijachanganya, siku si nyingi mtamsahau huyu Aucho na Kufurahia kazi ya Kanoute
 
kuita mcheza timu ya taifa ni utashi wa kocha, anaweza akaja mwingine akawaacha wote hao na akamuita mwengine. kuitwa timu ya taifa hakukufanyi kuwa bora ya alieachwa
Makolo muli bwanji mama. Kwahiyo wachezaji WA makolo WA ndani walioitwa timu ya Taifa wengi kuliko WA yanga hawana ubora kuliko WA yanga ambao hawajaitwa Ila ni utashi Tu WA kocha na si ubora si ndiyo?
 
ramli mshaanza kupiga sasa. na zanaco pia hakucheza?
NimEGUndua Jamaa huna akili au hufatilii mpira kabisa Ila umejaa ushabiki Tu. Mechi ya zanaco aucho hakuwepo alikuwa timu ya Taifa aucho kaanza kucheza mechi ya ngao ya jamii na mechi ya pili ni ya Jana na kagera.
Makolo muli bwanji mama.
 
ramli mshaanza kupiga sasa. na zanaco pia hakucheza?
Hata kama angecheza kwahiyo yanga kufungwa mechi hiyo kungemfanya aucho kutokuwa Bora si ndiyo? Tatzo makolo mnajiona Bora Sana na kuingia na matokeo UWANJANI mnadhan nyie mna haki ya kushinda Tu si droo WALA KUFUNGWA as if timu ZINGINE zpo kwenye ligi kuwapa ushindi ninyi. Kama ndivyo basi msimu uliopita ruvu na prison walikuwa na kikosi Bora Sana kuliko makolo maana waliwafunga tena kwenye kapeti la uwanja WA Taifa kabisa.

Mmetoa droo na biashara mnasingzia uwanja wakati misimu mingne kiwanja hicho hicho mlikuwa mnashinda kwahiyo Kwa matokeo Yale wachezaji WA makolo wamezdiwa Kwa ubora na WA biashara au wanalingana si ndiyo. Kisa droo
 
Wewe kolo ndio unaona umenitukana wakati timu yangu inaingiza hela endelea na akili za utopolo.
Makolo ulibwanji mama? Hela za Mo zmekuwa za makolo na bado Mo anawambia anapata hasara. Makolo kwenye akaunti mna shilingi ngapi za chama ama Luis mpaka sasa.
Mbumbu ni mbumbu Tu kweli rage ni nabii
 
Unahitaji Chama, Bwalya, Mkude, Muzamiru, Lwangana hata Ndemla ili angalau tu kuufikia uwezo mkubwa alionao Kiungo ninayempenda na namkubali wa Yanga SC Khalid Aucho.

Naomba Yanga SC ikirejea Dar es Salaam japo Mimi Mightier ni mwana Simba SC lia lia lakini Furaha yangu Kubwa ni kupiga tu Picha nae hata kama akiwa amevalia Jezi za Yanga SC sitojali.

Ana kila Kitu ambacho Kiungo makini na wa Kimataifa anatakiwa awe nacho na si hawa Wengine ambao Sifa yao Kubwa ni Kucheza tu Mirafu ya Kipumbavu na kupatapata Mikadi tu ya Njano na Nyekundu.

Shikamoo Khalid Aucho unanikuna sana.
Wewe haujawahi kuwa simba hata siku moja!! Unachofanya ni kubadili badili ID tu.
 
anacheza na viungo gani, usimsifie anaekimbia muangalie na anayemkimbiza pia. viungo wa simba wamecheza na viungo bora kabisa afrika wakiwemo wale viungo wa mabingwa mara nyingi afrika yaani al ahly na mabingwa wa pili afrika yaani tp mazembe na bado wapo kimya. aucho amecheza na viungo gani wa maana. mbona swali rahisi sana
Hakika wewe ni mpuuzi wa kiwango cha lami, Kama ujui kitu uwe unauliza unapewa data sio unaamka umeshiba makande unaandika upuuzi apa, unajua Aucho amepitia vilabu gani wewe mpaka anakuja kutua yanga? Na unajua ivyo vilabu vinacheza ligi gani na yenye ushindani gani barani Africa? Achilia mbali kucheza timu yake ya taifa ambapo anamuweka benchi uyo lwanga unaemsifia, iyo post yako inaonyesha kabisa ulivyo shabiki oya oya asiependa kujishughulisha na takwimu bali Unajishughulisha zaidi na udaku, umbea na undezi wa maneno ya mitaani, Unapotaka kumlinganisha kharid aAucho na kina mzamiru cijui ndemla ninakuwa na wasi wasi na uelewa wako wa masuala ya soka, maana ata kama ni ushabiki huo wa kwako umepitiliza
 
timu zilizoingia robo fainali caf zinajulikana, tuambie alikuwa timu gani. au unataka kusema alikuwa ulaya daraja la 4. mnasifia mapema mno. huwezi kuona mchezaji akicheza na kagera au rangers ukamsifia. luanga alisifika kuwa bora pale tu alipoanza kuwafunika viungo mahiri wa club kubwa afrika
Kwahiyo kwavile timu aliyokuwa haikuwahi kufika robo fainali, basi timu kama Al Ahyl, Zamalek au hata Pyramid, walikuwa hawachezi nao kwenye ligi?

Acha ushabiki maandazi wewe!! Unao uhuru wa kutokumkubali Aucho lakini hoja zako hazina mantiki hata punje! Sana sana unaonekana ni kama shabiki wa Instagram Soccer!!
 
Inawezekana yupo yanga na pia kama timu huoni kinachofanyika labda kwa mapenzi yako na timu fulani..lkn penye ukweli jaribu kukubali tu,uwezo wa mchezaji mmoja mmoja Aucho ni kiungo hodari sana kuanzia mikimbio yake mpk pasi zake...

labda unaweza usipate unachotaraji kulingana na muunganiko wa timu au mfumo wa mwalimu tu..

mbona mashabiki wa yanga wanamkubali sana kiungo fundi Bwallya,hata Chama alikubalika sana na wana yanga..sasa kwann mtu anapotoa mtazamo kwa Aucho yani unapingaaaa kisa yupo timu pinzan

mlivokua hamna akili sasa akisajiliwa simba utamsifia hapa hadi unye iwe kama yale ya Morrison mlivo mkataa akiwa yanga.

Mtoa mada kongole kwako kwa kuweka unafki pemben na kuongea ukweli
 
Back
Top Bottom