Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Classic player ukimfananisha na nani?
 

Yaani mechi ya juzi na TP Mazembe? Yaani viungo wa simba waliwafunika viungo wa TP Mazembe? πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

 
Msimamo wako kwa sarpong unabaki vile vile maana nae ulimsifia kwamba ni bonge la striker alipocheza mechi ya kwanza tu.
 
Mzamily, mkude, luanga ulivyo wataja kama mtu awajui atahisi majamaa yanakipiga sana sasa ayaone uwanjani nguvu mingi akili ndogo.
 
Kikubwa ninachokupendea muda mwingine unakua mkweli
 
Simba watampanga Mkude - kaacha yale mambo atakuwa fiti sio muda mrefu.
 
Mna mchezaji gani mwenye kumfikia uwezo Feisal?
Mna mchezaji gani mwenye kumfikia uwezo Aucho?
yanga ishapata muunganiko au bado? jibu kwanza. feisal tangu ajiunge na yanga hajabeba kombe zaidi ya ubao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…