Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

naona povu jingi m situkani haswaaa ila nimequote tu from your bible hlf unaikataa bible yko mwenyewe
I have some space in my ignore list. Little empty headed kids belong there. You are officially ignored.

Enjoy your day!
 
Umeongea vzuri.
Wamwabuduo Mungu ,humwabudi katika Roho na kweli.

Ukiwaza kimwili, hutoelewa mambo ya Rohoni.
 
kwani mm mara ya kwanza kuona comments zako? Elimu Elimu Elimu
Unakumbuka comments zangu ambazo hata Mimi nishazisahau...acha ujinga jibu hoja ya Sasa achana Na mambo ya mwaka juzi
 
Mifano inayotolewa kwa disciples huwa inakubalika ikiwa imperfect kwa sababu lengo la mwanafunzi ni kuelewa. Ukitumia same example kwa critic ni recipe for disaster kwa sababu lengo lake sio kuelewa, kwa hiyo ataiacha point ya msingi na kuanza kuhangaika na imperfections.

Nipo nafuatilia nione mifano yako kama itatiliwa maanani basi. At the end of the tunnel utaelewa ninachomaanisha.
 
Aliwai kuniambia mtu mmoja kuwa yesu by nature kabisa ni muislam kwasababu alifata mila na tamaduni za kiyaud na pengine mpaka kuzifanya zaidi ya mafundisho ya kidini yakiyaudi
Alitawadha,aliingia msikitini(sinagodi) kama waislam wasalivyo ko yesu ni muislam hakuna mkristo anayeingia msikitini,kutawadha wala kuvaa kanzu asalipo
-Wisdom
Nikamwambia kwamba Kitu cha msingi kabisa hawa watu usije ukawakatalia wanapokwambia hoja zao
Nikamwambia nikweli yoteee usemayo lakin mim nitakuuliza jambo moja nikweli uliyosema kuwa yesu alikuwa muislam kwa takwimu ambazo umesema na zina ushaid pia ktk biblia
Lakin katika iyoiyo biblia yesu pia aliingia hekalun kusali
Sasa ukimuona mtu anaingia msikitini na kanisani unawezaje kubagua ukamwita ni muislam
Kuna muislam anaweza kusali msikitini na kanisani kwa iyo unaona kabisa swala la kusema yesu alikuwa muislam by nature ni uwongo hakuna muislam anayeingia msikitin na kanisan itoshe kusema yesu alikuja kutukomboa sisi wanadumu zidi ya dhambi zetu na kuchukua madhaifu yetu na kutupa tumain la milele maswala muislam au mkristo niyeye ndiye ajuaye yeye ni yeye tu.
 
Yaani sinagogi ni msikiti? Alikuwa anatania au serious?
Pili Yesu hakuwahi kuwa Muislam, unless uamue tu kufanya uhuni wa kulazimisha awe. Yesu alizaliwa na Wayahudi, aliwekwa Wakfu na Simoni Myahudi katika hekalu la Mungu wa Wayahudi. Akakulia kati ya Baba seremala Myahudi, Mama Myahudi na waalimu Wayahudi. Aliishi katika Yudea na Samaria pekee, eneo la Wayahudi, na alifundisha juu ya Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Baba zao, Yakobo (Israeli), Isaka na Ibrahimu, wote hawa Wayahudi.

Akafundisha kuhusu sheria ya Musa (Myahudi) na namna ilivyompasa Masihi wa Mungu (Myahudi wa kabila la Yuda), kufa kwa ajili ya kuukomboa Ulimwengu wote. Akashtakiwa na Baraza la kidini la Wayahudi, Sanhedrin. Kwa kuwa Yudea na Samaria lilikuwa koloni la Warumi, Wayahudi hawakuwa na ruhusa ya kuua mtu pasipo na ruhusa ya Kaisari. Ndio maana walipompeleka kwa Herode akawaambia wampeleke kwa Pilato (Mrumi) kwa sababu alikuwa ndiye mwakilishi wa Kaisari.

Yesu akashtakiwa kwa sheria ya Kiyahudi kuwa alikufuru kwa kuwa alisema Yeye ni Mwana wa Mungu na Wayahudi walielewa wazi hii ni kusema Yesu ni Mungu. Pilato hakuona kama Yesu alistahili kifo cha juu kabisa kwa sababu hakufanya kosa lolote. Wayahudi wakasema tuna sheria yetu na kwa hiyo tunamshtaki. Pilato (Mrumi), akawaruhusu Wayahudi wakamwue Yesu sawa na sheria yao baada ya kuwanawa. Wayahudi kwa msaaada wa Warumi wakamtundika Yesu. Na kibao cha mashtaka kiliandikwa Yesu, Mfalme wa Wayahudi. Wazee wa Kiyahudi walilalamikia kuwa kibadilishwe Pilato akagoma!

Kwa hiyo Yesu hajawahi kuwa Muislam. Usilam ulianza miaka zaidi ya 700 baada ya Yesu kuwapo duniani!
Mtu anayedai Yesu alikuwa Muislamu ni mmoja kati ya hawa
1. Hajui anachokisema/Kakariri
2. Hamjui Yesu au Uislam na Historia yake au hajui vyote
3. Ni tapeli!
 
Kaangalie nyuma ya bible maana ya sinagogi
 
Achana na hizo primitive mythogies
 
Na mimi nauliza iviiii kipindi yesu anavamia masoko na kumwaga bidhaa za watu RPC wa eneo lile alikuwa nani ...... na alichukua hatua gani
 
Mi sijakubishia hoja yako. Mwanzo ulipinga ule mchoro wa miungu wa tatu. Nukuu nyingi zinaonesha kwenye biblia Yesu analia kwenda kwa Mungu wake alivyosulubiwa msalabani.
Hiyo mistari yote nimekutolea nukuu zake.
Your browser is not able to display this video.
 
Mi sijakubishia hoja yako. Mwanzo ulipinga ule mchoro wa miungu wa tatu. Nukuu nyingi zinaonesha kwenye biblia Yesu analia kwenda kwa Mungu wake alivyosulubiwa msalabani.
Hiyo mistari yote nimekutolea nukuu zake.
Sikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
 
Yesu(issa) alikuwa muislam na ndio dini ya manabii wote....na sio mungu kama wakiristo wanavyodai...
 
Kwa hiyo unakubali kwamba kwenye huo utatu kuna mmoja ana ujuzi kuliko mwingine?
 
Biblia imeandikwa kama instructions kwa wanafunzi. Huyo unayejadili naye yupo hapo ili akosoe na sio kujifunza.

Anyway yangu macho. Ngoja tuone mtakapoishia!
 
Yesu(issa) alikuwa muislam na ndio dini ya manabii wote....na sio mungu kama wakiristo wanavyodai...
Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…