Mpigie simu Pilato, alikuwa Gavana wa huko, lazima ana majibu!Na mimi nauliza iviiii kipindi yesu anavamia masoko na kumwaga bidhaa za watu RPC wa eneo lile alikuwa nani ...... na alichukua hatua gani
Yesu asingeweza kupiga alama ya msalaba wakati msalaba haukuwa umewahi kutumika kama alama ya ukombozi bali ulikuwa unatumika kuadhibu wenye hatia.Kitendo cha yeye kusuubiwa msalabani ndiyo kilichoufanya msalaba kuwa alama ya ukombozi.Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
😂 na kwa mahubiri hayo upata wafuasi wapya kila siku.Nenda kwenye Mikutano ya kiislam utacheka ujikojolee
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Kwa sababu Mungu hawezi kuwa mtu au kufanana na viumbe wake.Sikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
ajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.
kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara[emoji23][emoji23].
nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
Mbowe siyo Gaidi.Nini maana ya ugaidi
Mimi sina shida Mkuu cha muhimu alete hoja tu na siyo mihemkoBiblia imeandikwa kama instructions kwa wanafunzi. Huyo unayejadili naye yupo hapo ili akosoe na sio kujifunza.
Anyway yangu macho. Ngoja tuone mtakapoishia!
Hili umejifunza wapi kuwa Mungu hawezi uongeza uanadamu katika uungu wake?Kwa sababu Mungu hawezi kuwa mtu au kufanana na viumbe wake.
Alitahiriwa siku ya nane toka azaliweMimi napenda kuuliza je alitahiriwa?
Na je alioa?
Maana siku hizi tunaumizwa Sana kwenye mapenzi sisi wanaume
MJADALA MZURI SANA HUUHivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Kama vile umelaaniwaHivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Hiyo imezungumza kama figurative language haina maana kama unavyofikiria wewe. Ngoja nikupe mfano kwenye biblia. Kwenye huo mstari ukisikia mbingu zatangaza utukufu wa Mungu haina maana mbingu zina mdomo. Mfano mwingine kijiti kiliongea na Musa kwenye biblia haina maana kijiti kilikuwa na mdomo au Mungu wenu.Hili umejifunza wapi kuwa Mungu hawezi uongeza uanadamu katika uungu wake?
Unajua Allah ana mguu na mikono? Unasemaje juu ya hili? Nae unamkana sio mungu kwako?
Ndoivyo at the end Wana win maana bongo hii wanaofatilia mambo au kufikirisha bongo zao Ni wachache mno😂 na kwa mahubiri hayo upata wafuasi wapya kila siku.
hao jamaa ni conmen wa theolojia.
Taqiya ndiyo mpango mzima.
wakati wewe umeamliwa kuto ongeza wala kupunguza Neno, wao wameruhusiwa kudanganya kwa namna yoyote ili uingie katika dini.
Sijui majibu ya maswali yako ila nina hakika hata Mtume Mohamad hakupanda gari, misikiti aliyoingia haikuwa na spika nje, hakuwa na simu ya kuingia JF. Yaani ninachotaka kusema ni kuwa haiwezekani kuishi kama wao kwa kuwa miaka na teknolojia hubadilisha watu....dini ya kiislamu ilienea kwa ncha ya upanga lakini kwa sasa hamna mwenye jeuri ya kufanya hayo..Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Nimesoma na nimesikiliza wanazuoni wa Kiislam, hii ya figurative unaitoa wapi? Unaweza kuleta hadith au Quran verse inayoonesha ni figurative?Hiyo imezungumza kama figurative language haina maana kama unavyofikiria wewe.
Biblia iko wazi kwenye hilo. Inatumia devices kama Anthromophism, hyperboles, parables et al.Ngoja nikupe mfano kwenye biblia. Kwenye huo mstari ukisikia mbingu zatangaza utukufu wa Mungu haina maana mbingu zina mdomo. Mfano mwingine kijiti kiliongea na Musa kwenye biblia haina maana kijiti kilikuwa na mdomo au Mungu wenu.
Zaburi 19:1
Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake
Naomba unisamehe bure! Maandiko matakatifu yanasema hatarudi kama mwanzo! Zaidi ya yote, tunafunzwa kuwa, waabuduo halisi watamuabudu katika roho na kweli! Siyo katika mavazi! Siyo msikitini! Siyo kanisani! Bali katika roho na kweli!!! Yaani ndani ya moyo wako ndimo ilimo ibada yako ya kweli na si katika mwili! Na yeye anachunguza mioyo yetu haangaiki na muonekano wetu wa nje! Unajua unaweza sema unampenda fulani kwa midomo lakini moyoni ukawa unamchukia kwa 100%!!!Sijajua swali lako linahusu nini?lakini kama lengo lako lilikuwa ni kuuliza kwa nini Mtume Muhamad (S.A.W)alimuoa bi aisha akiwa na miaka sita huko Macca akaenda kumjua Madinina akiwa na miaka 9
Inawezekana wewe ndiye unayeliona la kipuuzi lakini lina ukweli mzito ndani yake,chukulia mfano unaambiwa Yesu yuko Uwanja wa Taifa,katika kufikili kwako kabla hujaenda kumuona,utafikiria utamkuta katika hari gani?kavaa kanzu anaswali au utamkuta kavaa suti anahubiri kwa sauti?hilo ndiyo jibu ninalolitaka,sababu dini zote zinahubiri Yesu ataludi
Enzi hizo hatukuwepo tumesimuliwa tu kwenye biblia na kuweka kumbukumbu kwa njia ya video
Ukitaka kufahu alivaaje ,alisali aje nenda kwenye utamaduni wa wayahudi utapata majibu unayoyahitaji