Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Sio kujiona hatupo tayari, unakuta mtu anajiweka expensive sana unaona kabisa gharama zitakuwa nyingi bila sababu πŸ˜… maana pisi kali ukiianza kama vile umenenunua madeni ya Songesha.
 
Sio kujiona hatupo tayari, unakuta mtu anajiweka expensive sana unaona kabisa gharama zitakuwa nyingi bila sababu πŸ˜… maana pisi kali ukiianza kama umenenunua madeni ya Songesha.
 
Huto rafiki yako mtumie ule uzi kichwa chake cha habari kinasema UMEWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA ?!
Aone mbinu zilizo tumiwa na Wanawake wenzake kwenye kuwala WANAUME kimasihara alafu mwisho wa siku hao WANAUME wakaja hapa forum kusema eti wao ndiyo wamekula tunda KIMASIHARA kumbe ni wao ndiyo wameliwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Tafuta huo uzi haraka sana mpe huyo rafiki yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3516]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…