Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
😂😂😂😂Tookaa kwa hiyo itampa maconfidencekweli tumshukuru mamah sasa!![]()
, Wine haidanganyi aiombe msaada![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Tookaa kwa hiyo itampa maconfidencekweli tumshukuru mamah sasa!![]()
, Wine haidanganyi aiombe msaada![]()
Sio kujiona hatupo tayari, unakuta mtu anajiweka expensive sana unaona kabisa gharama zitakuwa nyingi bila sababu 😅 maana pisi kali ukiianza kama vile umenenunua madeni ya Songesha.Hapo no way aanze tu yeye, vinginevyo awe mvumilivu mpaka kijana atakapo funguka.
Kuanza yeye kutasaidia kuokoa muda kwa sababu huenda pia kijana ameonyesha hivyo ila asije kuwai kumfungukia kwa sababu sometime wanaume kuna sehemu tunatokeaga kuzielewa ila tunajikuta hatuzifungukii kwa kujiona hatuko tayari kila siku.
Kwaio hapo mdada aangalie tu njia smart ya kumfungukia kijana ambayo kijana hatomuona mdada ni kicheche maana kiukweli mi kama mwanaume mdada akikujia direct unaweza ukamuhisi vibaya.
Mdada ajaribu kutengeneza mazingira ya kukutana na kijana then ajaribu kuweka mazingira ya kujiregeza huenda kijana akamalizia
No no usijaribu kumtongoza mwanaume kwa kumwambiaYani huyu ni wewe kabisa.
We mface tu umwambie nimekuelewa mtoto wa mama mkwe. Siku hizi wanawake wanajilipua pia. Mtongoze.
Sio kujiona hatupo tayari, unakuta mtu anajiweka expensive sana unaona kabisa gharama zitakuwa nyingi bila sababu 😅 maana pisi kali ukiianza kama umenenunua madeni ya Songesha.Hapo no way aanze tu yeye, vinginevyo awe mvumilivu mpaka kijana atakapo funguka.
Kuanza yeye kutasaidia kuokoa muda kwa sababu huenda pia kijana ameonyesha hivyo ila asije kuwai kumfungukia kwa sababu sometime wanaume kuna sehemu tunatokeaga kuzielewa ila tunajikuta hatuzifungukii kwa kujiona hatuko tayari kila siku.
Kwaio hapo mdada aangalie tu njia smart ya kumfungukia kijana ambayo kijana hatomuona mdada ni kicheche maana kiukweli mi kama mwanaume mdada akikujia direct unaweza ukamuhisi vibaya.
Mdada ajaribu kutengeneza mazingira ya kukutana na kijana then ajaribu kuweka mazingira ya kujiregeza huenda kijana akamalizia
Huto rafiki yako mtumie ule uzi kichwa chake cha habari kinasema UMEWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA ?!Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
. Tupo zama za karne ya 21 unaleta mambo ya karne ya 3.No no usijaribu kumtongoza mwanaume kwa kumwambia
Wewe useme umewaka kwa mwamba sio unajizungusha humu kujidai shoga yako😅! Jiongeze ukatmbwe kabla masika haijaisha hii.Asichoogopa ni asije akamtangaza. Hawako ofisi moja ila sector ile ile na watu ni wale wale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3516]Huto rafiki yako mtumie ule uzi kichwa chake cha habari kinasema UMEWAHI KULA TUNDA KIMASIHARA ?!
Aone mbinu zilizo tumiwa na Wanawake wenzake kwenye kuwala WANAUME kimasihara alafu mwisho wa siku hao WANAUME wakaja hapa forum kusema eti wao ndiyo wamekula tunda KIMASIHARA kumbe ni wao ndiyo wameliwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tafuta huo uzi haraka sana mpe huyo rafiki yako.
Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka WAKULANE TU lakini asingependa kumuanza mwenyewe ASIJE KUMUONA KICHECHE
😂😂😂😂Tookaa kwa hiyo itampa maconfidence
Pale huyo kijana atakapoikataa sijui itakuwaje[emoji23][emoji23]Amfungie zawadi ya boxer kisha amwambie atapenda aje amuoneshe zawadi jinsi ilivyomkaa this weekend.
Kumbe ndio maana namba yako hutaki kutoa eeh😅Kwani siku hizi wanaume wanatongoza?? Akikuomba namba ndio tyr ushatongozwa hapo jamaa linakulia timing sema ww una haraka tyuuu.!!!
Nawaza kwa sauti hapa [emoji23][emoji23][emoji23]Pale huyo kijana atakapoikataa sijui itakuwaje[emoji23][emoji23]
Hiyo sentence na mm ndio imenifanya nishindwe kutoa maoni, aiseee dunia inakwenda kasi sana.Dunia Iko Kasi sana, nyuchi zenu hazina thamani tena
Khakhakha 🔥![]()
,sio tu confidence inaleta na package zote za down zea![]()
![]()
,![]()
Hahahah hamna kijana anakataa offer ya mbunye, thats one in a million chances ndio inakuwa denied.Pale huyo kijana atakapoikataa sijui itakuwaje[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utabaki tu unajiuliza yamewezekanaje mambo haya ya kukataa zawadi jmnNawaza kwa sauti hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
DuhHahahah hamna kijana anakataa offer ya mbunye, thats one in a million chances ndio inakuwa denied.
Aisee, itamuumiza akikataliwa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utabaki tu unajiuliza yamewezekanaje mambo haya ya kukataa zawadi jmn