Bora hao wachaga wamejenga na stendi yao ya sasa sio mbovu kama ya bukoba.Tope tupu.
Ya Moshi wamejenga kwenye chemchem ya maji!
Wahaya na Wachaga akili zao zinafanana!
Stand ya Moshi ni nzuri kuliko airport nyingi tu.Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.
Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.
Mungu ni mwema wakati wote!
Tatizo la nshomile mnategemea kujengewa kila kitu na serikali. Ona stend mpya ya Moshi ni nzuri kuliko KβNjaro International Airport.Bora hao wachaga wamejenga na stendi yao ya sasa sio mbovu kama ya bukoba.
But bukoba toka nimekuwepo hauna stendi ule mji kabisa.
Mji mdogo wa kibaha Una stendi nzr but bukoba manispaa kabisa but vichochoro
Ulevi umesababisha ukafukuzwa HQMalizia kuchuja hiyo mbege manka.
Hapa tunazungumzia halmashauri.
Hakuna cha Ndugai wala sijui hapa kazi tu
Huyu mbunge yupo sawa kweli?Walijenga airport kwanza ambayo nayo walijenga ndogo mno kulinganisha na abiria.
Nayo wakaijenga mjini wakabana mji na kusababisha folen kwenye baadhi ya barabara.
Sasa naskia bukoba stendi hela hakuna wakati na magari mengi Sana kuliko hata stendi ya kibaha ambayo haina magari kabisa
Hiv kibaha pesa walitoa wap
Kuna mengi huyajui JoAkili na kabila zinaendana kwa mfano wapare!
Duh ni Tanzania hapa? Embu ona maeneo ya jirani na stend mpya ya Moshi huko Rau Mmawia.Bukoba imeogozwa kila Aina ya chama.
Cuf 2000-2005
CCM 2005-2015
Hawa walipewa hela ya stendi wakaanza kugombana CCM wao Kwa wao
Chadema 2015-2020.
Hawa walianza ujenzi wa stendi kule kyakairabwa na walishindwa kuimaliza Kwa sababu ya siasa za kichama za jiwe.
CCM 2020 to present.
Wapo kimya Tu mbunge anasema stendi na soko vitajengwa na wanabukoba wenyew as if hawalipi Kodi.
Meanwhile stendi ya mji mkongwe na muhumu wa bukobaView attachment 1797839View attachment 1797840
Hahahaaaa...........!
Hahahaaaa..... Usisahau ile deal yetu na Chief Connector!Ulevi umesababisha ukafukuzwa HQ
Sasahivi unagongea bandoHahahaaaa..... Usisahau ile deal yetu na Chief Connector!
Bando hapa halikauki 24/7Sasahivi unagongea bando
Tamba ile posho ya kuandaa mkutano mkuu naona imetoka juzi, sema huko Katoro utakoma ni vumbi haswaBando hapa halikauki 24/7
Ujinga una raha yake mkuuNawewe huwa ni kajinga sana mkuu.
Hakika mnasikia raha,inaonekana.Ujinga una raha yake mkuu