Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Tope tupu.

Ya Moshi wamejenga kwenye chemchem ya maji!

Wahaya na Wachaga akili zao zinafanana!
Bora hao wachaga wamejenga na stendi yao ya sasa sio mbovu kama ya bukoba.

But bukoba toka nimekuwepo hauna stendi ule mji kabisa.

Mji mdogo wa kibaha Una stendi nzr but bukoba manispaa kabisa but vichochoro
 
Screenshot_20210526-090441.png
Screenshot_20210526-085458.png
Screenshot_20210526-085533.png
Screenshot_20210526-085636.png
Screenshot_20210526-090307.png
Screenshot_20210526-090339.png
Screenshot_20210526-090400.png

Linganisha hapa
 
Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.

Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.

Mungu ni mwema wakati wote!
Stand ya Moshi ni nzuri kuliko airport nyingi tu.

1622010604124.jpeg
 
Bora hao wachaga wamejenga na stendi yao ya sasa sio mbovu kama ya bukoba.

But bukoba toka nimekuwepo hauna stendi ule mji kabisa.

Mji mdogo wa kibaha Una stendi nzr but bukoba manispaa kabisa but vichochoro
Tatizo la nshomile mnategemea kujengewa kila kitu na serikali. Ona stend mpya ya Moshi ni nzuri kuliko K’Njaro International Airport.
1622010763595.jpeg
 
Walijenga airport kwanza ambayo nayo walijenga ndogo mno kulinganisha na abiria.
Nayo wakaijenga mjini wakabana mji na kusababisha folen kwenye baadhi ya barabara.

Sasa naskia bukoba stendi hela hakuna wakati na magari mengi Sana kuliko hata stendi ya kibaha ambayo haina magari kabisa


Hiv kibaha pesa walitoa wap
Huyu mbunge yupo sawa kweli?
Hizi fedha ni mikopo nafuu kwa ajili ya miundo mbinu
Kama katavi
barabara za mitaa dar
Singida
Moro
Moshi
Korongwe na kwinginepo

Lakini pia kama imeshindikana basi Mkuu wa Mkoa, Mbunge wakitengeneza fund raising wapate billions kadhaa mbona inapatikana tu kuna wahaya wengi nje ya nchi na wengine ndani ya nchi wana hela na wanaweza kuijenga Bukoba kwa mikono yao
Byabyato vipi huyu jamaa
.
 
Kashangaa ?
Alikuwa hajawahi kufika Geita ?
Na mimi namshangaa kwa yeye kushangaa kama vile ni mgeni Tanzania...
 
Bukoba imeogozwa kila Aina ya chama.
Cuf 2000-2005
CCM 2005-2015
Hawa walipewa hela ya stendi wakaanza kugombana CCM wao Kwa wao

Chadema 2015-2020.
Hawa walianza ujenzi wa stendi kule kyakairabwa na walishindwa kuimaliza Kwa sababu ya siasa za kichama za jiwe.

CCM 2020 to present.
Wapo kimya Tu mbunge anasema stendi na soko vitajengwa na wanabukoba wenyew as if hawalipi Kodi.


Meanwhile stendi ya mji mkongwe na muhumu wa bukobaView attachment 1797839View attachment 1797840
Duh ni Tanzania hapa? Embu ona maeneo ya jirani na stend mpya ya Moshi huko Rau Mmawia.
1622011789052.jpeg
 
Compare stand ya Moshi na Kahama, itakayopita ndio uicompare na Bukoba.. ..


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Back
Top Bottom