Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Bukoba imesambaa eneo kubwa kuliko Moshi
Jaribu kutumia java open Street map maarufu kama Josm. Inaonyesha vzr picha za satellite kuliko Google earth.

FWJ%2CLKSKFHWIU.PNG
View attachment 1798658
FWJ%2CLKSKFHWIU.PNG
BHTFTJ.PNG
View attachment 1798660
BHTFTJ.PNG
 
View attachment 1799016
Bukoba haina mipango,haina tofauti na Mbagala
We huoni bukoba umepigia picha mbali mno hata haionekani vzr.bukoba ni mji wenye milima

Hapo Tu naona kata mbili Tu za bukoba.




Bukoba ni nzr kimandhari, imejengeka na kusambaa huwezi piga picha ya mji mzima ukaona kitu zaidi ya utopolo kama uliyopost hapa.



Kwa kanda ya ziwa baada ya mwanza hakuna mji uliojengeka kimajengo kama bukoba achana na slums zinazotengeneza mji wa kahama.


Tengua kauli. Bukoba huwezi linganisha na mbagala kule uswazi


View attachment 1799139
BHTFTJ.PNG
View attachment 1799135
 
View attachment 1799017
Musoma inavutia sana lakini hainaga promo
Tuseme ukweli huwezi linganisha bukoba na musoma labda ukiangalia stendi Tu.


Bukoba iko mbali mno na inachangamka sana. Ndo maana kuna bandari mbili zilizo busy, kuna busy airport,kuna ujenzi kila mahali .juzi Tu udsm wameanza ujenzi wa Tawi la chuo kikuu, na shule kibao.bado barabara zake ziko busy huwezi linganisha na musoma.


Kama unabisha leta picha za musoma nami nilete bukoba kama hutakimbia hapa
lk.jpg
kuou.PNG
Instagram(10).jpg
Instagram(4).jpg
HJDSS.jpg
Captu%3Dre.PNG
f2717-bukobawadaublog.jpg
cc04af9141ffef7300c26637ac8d9b2d.jpg
bk%20night2.PNG
Capture.PNG
bk%20port.PNG
2620657_Allsocial-1605763701701.jpg
 
5 August 2022
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania

KITUO CHA MABASI MOSHI CHAWAINGIZA MAWAZIRI KWENYE 18 ZA KATIBU MKUU CCM


Mradi wa kituo kipya cha mabasi cha kimataifa Ngangamfumuni mjini Moshi, Tanzania unaendelea kupasua vichwa vya viongozi wa CCM kutokana na mradi huo kuonekana ni fupa lililoshindikana ingawa mabilioni ya fedha tayari yametolewa huku CCM ikitoa maelezo ilani yake ya uchaguzi ina nadi ingeweza kuukamilisha 2020
 
Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.

Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.

Mungu ni mwema wakati wote!
Ngese
 
Back
Top Bottom