Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

Umeongea point kaka nimejaribu njia zote zinadunda natoka naenda nkaaa maporini huko wiki nzima kutafuta vitu vizurii lakini wapiiiii naishia kuambulia patupu
Pole mkuu...

Ila unatakiwa ujue kwamba asilimia kubwa ya watu ambao wamefanikiwa kwenye maisha ya utafutaji hasa kupitia kwenye upande huo wa kibiashara ni kwamba wameweza kujiungamanisha na upande wa kiroho iwe kwa kujua au kwa kutokujua na iwe upande wa kiroho wa gizani au upande wa kiroho wa nuruni, huwa haijalishi Ila nguvu za umiliki huwa haziko upande huu wa damu na nyama bali zipo upande wako wa pili ambao ni upande wa kiroho.

Kwahiyo Kuna watu ambao walijaribu biashara nyingi sana ambazo zote hazikuwapa mafanikio Ila baadae walikuja kukutana na biashara moja tu ambayo walivyoamua kuifanya hapo hapo wakaanza Kuona mafanikio ambayo hawajawahi yaona kwenye biashara nyingi walizowahi kuzifanya na hii biashara ndio tunasema sasa kwamba inayo muunganiko wa moja kwa moja na upande wako wa kiroho Kwahiyo inakuunganisha pasipo wewe mwenyewe kujua.

Inawezekana hujaelewa hapo Ila nakuhakikishia kwamba biashara ni kama mila na desturi zilizopo kwenye makabila, kwamba Kuna mila inaaminiwa sana na kabila fulani na wanaifuata kwasababu inawapa matokeo wanayoyataka pindi wanapoifuata Ila wewe mtu wa kabila lingine ukienda kuifuata hiyo mila haitakupatia chochote unachotaka kwasababu wewe asili yako haiko huko Kwahiyo na wewe ukitaka ufanikiwe kwenye mambo ya kimila nilazima ufuate zile mila ambazo zinafungamana na asili yako.

Tukirudi kwenye biashara ni the same, biashara ambayo inampa faida kubwa sana rafiki yako wewe ukienda kuijaribu unaweza usifanikiwe hata kwa japo faida kidogo, sana sana utapoteza mtaji wote huko kwasababu hiyo biashara haifungamani na wewe kiasili ila biashara hiyo hiyo ambayo wewe hufanikiwi nayo unakuta Kuna rafiki yenu mwingine kwenye hiyo cycle yenu nae anajaribu kuifanya ghafla anafanikiwa, sasa wewe unaweza kujihisi unagundu na mikosi ila wala sio kweli ni vile tu haujui namna ya ulimwengu unavyofanya kazi.

Kuna biashara ambazo zinafungamana na watu fulani fulani na Kuna biashara ambazo hazifungamani na watu fulani fulani.

Najua ni mambo ambayo yanashangaza halafu yamekaa kufikirika fikirika sana, ila ndio asili ilivyo na ndio maana always unaambiwa dunia inaendeshwa na watu wenye nguvu, sasa watu wenye nguvu sio kwamba wako na misuli mingi, hapana ila watu wenye nguvu huwa wanajua namna universe inavyofanya kazi na ndio maana unaona matajiri wengi huwa wanawekeza pesa nyingi kwenye vistartup venye idea nyepesi sana wakati wangeamua wangeweza kununua hizo algorithm na kuzifanya wao wenyewe ila wanafanya hivi kwasababu wanajua sio kila biashara lazima wewe uwe main player lakini unaweza kutembelea migongo au nyota ya watu wengine kwa kuwekeza kwao kwenye zile biashara ambazo zinafungamana na wao moja kwa moja na ukaendelea kula share zako kwa kadri ya ulivyowekeza.

NB
Hii ni code nimewafungulia sasa unaweza ukapita nayo au ukaipita... Yesu mwenyewe alikua fundi selemala kwani unadhani hakuona kazi zingine za kufanya 😆😆😆😆
Hiyo asili yangu ya biashara ntaijuaje...?!
Unatakiwa ujue hatima yako kwanza... kila mtu huko hapa duniani kwa lengo maalumu na hilo lengo ndio hatima na kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako... kwa hiyo ukijua hatima yako ndio umejua asili yako na ukijua asili yako basi itakua rahisi kujua biashara zinazoendana na asili hiyo... ukishindwa ndio unafanya try and error hadi utakapojipata though hii ni very boring na inachukua muda sana kujipata.

Baki kwenye huu uzi hadi ukimalizika kuna kitu unaweza ukatoka nacho Thread 'Dunia ni uwanja wa vita za hatima.' Dunia ni uwanja wa vita za hatima.
 
Pole mkuu...

Ila unatakiwa ujue kwamba asilimia kubwa ya watu ambao wamefanikiwa kwenye maisha ya utafutaji hasa kupitia kwenye upande huo wa kibiashara ni kwamba wameweza kujiungamanisha na upande wa kiroho iwe kwa kujua au kwa kutokujua na iwe upande wa kiroho wa gizani au upande wa kiroho wa nuruni, huwa haijalishi Ila nguvu za umiliki huwa haziko upande huu wa damu na nyama bali zipo upande wako wa pili ambao ni upande wa kiroho.

Kwahiyo Kuna watu ambao walijaribu biashara nyingi sana ambazo zote hazikuwapa mafanikio Ila baadae walikuja kukutana na biashara moja tu ambayo walivyoamua kuifanya hapo hapo wakaanza Kuona mafanikio ambayo hawajawahi yaona kwenye biashara nyingi walizowahi kuzifanya na hii biashara ndio tunasema sasa kwamba inayo muunganiko wa moja kwa moja na upande wako wa kiroho Kwahiyo inakuunganisha pasipo wewe mwenyewe kujua.

Inawezekana hujaelewa hapo Ila nakuhakikishia kwamba biashara ni kama mila na desturi zilizopo kwenye makabila, kwamba Kuna mila inaaminiwa sana na kabila fulani na wanaifuata kwasababu inawapa matokeo wanayoyataka pindi wanapoifuata Ila wewe mtu wa kabila lingine ukienda kuifuata hiyo mila haitakupatia chochote unachotaka kwasababu wewe asili yako haiko huko Kwahiyo na wewe ukitaka ufanikiwe kwenye mambo ya kimila nilazima ufuate zile mila ambazo zinafungamana na asili yako.

Tukirudi kwenye biashara ni the same, biashara ambayo inampa faida kubwa sana rafiki yako wewe ukienda kuijaribu unaweza usifanikiwe hata kwa japo faida kidogo, sana sana utapoteza mtaji wote huko kwasababu hiyo biashara haifungamani na wewe kiasili ila biashara hiyo hiyo ambayo wewe hufanikiwi nayo unakuta Kuna rafiki yenu mwingine kwenye hiyo cycle yenu nae anajaribu kuifanya ghafla anafanikiwa, sasa wewe unaweza kujihisi unagundu na mikosi ila wala sio kweli ni vile tu haujui namna ya ulimwengu unavyofanya kazi.

Kuna biashara ambazo zinafungamana na watu fulani fulani na Kuna biashara ambazo hazifungamani na watu fulani fulani.

Najua ni mambo ambayo yanashangaza halafu yamekaa kufikirika fikirika sana, ila ndio asili ilivyo na ndio maana always unaambiwa dunia inaendeshwa na watu wenye nguvu, sasa watu wenye nguvu sio kwamba wako na misuli mingi, hapana ila watu wenye nguvu huwa wanajua namna universe inavyofanya kazi na ndio maana unaona matajiri wengi huwa wanawekeza pesa nyingi kwenye vistartup venye idea nyepesi sana wakati wangeamua wangeweza kununua hizo algorithm na kuzifanya wao wenyewe ila wanafanya hivi kwasababu wanajua sio kila biashara lazima wewe uwe main player lakini unaweza kutembelea migongo au nyota ya watu wengine kwa kuwekeza kwao kwenye zile biashara ambazo zinafungamana na wao moja kwa moja na ukaendelea kula share zako kwa kadri ya ulivyowekeza.

NB
Hii ni code nimewafungulia sasa unaweza ukapita nayo au ukaipita... Yesu mwenyewe alikua fundi selemala kwani unadhani hakuona kazi zingine za kufanya 😆😆😆😆

Unatakiwa ujue hatima yako kwanza... kila mtu huko hapa duniani kwa lengo maalumu na hilo lengo ndio hatima na kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako... kwa hiyo ukijua hatima yako ndio umejua asili yako na ukijua asili yako basi itakua rahisi kujua biashara zinazoendana na asili hiyo... ukishindwa ndio unafanya try and error hadi utakapojipata though hii ni very boring na inachukua muda sana kujipata.
Kila ukijibu napata swali jipya hiyo hatima yangu kuijua nayo ni mtihani ntaijuaje...?!
 
Pole mkuu...

Ila unatakiwa ujue kwamba asilimia kubwa ya watu ambao wamefanikiwa kwenye maisha ya utafutaji hasa kupitia kwenye upande huo wa kibiashara ni kwamba wameweza kujiungamanisha na upande wa kiroho iwe kwa kujua au kwa kutokujua na iwe upande wa kiroho wa gizani au upande wa kiroho wa nuruni, huwa haijalishi Ila nguvu za umiliki huwa haziko upande huu wa damu na nyama bali zipo upande wako wa pili ambao ni upande wa kiroho.

Kwahiyo Kuna watu ambao walijaribu biashara nyingi sana ambazo zote hazikuwapa mafanikio Ila baadae walikuja kukutana na biashara moja tu ambayo walivyoamua kuifanya hapo hapo wakaanza Kuona mafanikio ambayo hawajawahi yaona kwenye biashara nyingi walizowahi kuzifanya na hii biashara ndio tunasema sasa kwamba inayo muunganiko wa moja kwa moja na upande wako wa kiroho Kwahiyo inakuunganisha pasipo wewe mwenyewe kujua.

Inawezekana hujaelewa hapo Ila nakuhakikishia kwamba biashara ni kama mila na desturi zilizopo kwenye makabila, kwamba Kuna mila inaaminiwa sana na kabila fulani na wanaifuata kwasababu inawapa matokeo wanayoyataka pindi wanapoifuata Ila wewe mtu wa kabila lingine ukienda kuifuata hiyo mila haitakupatia chochote unachotaka kwasababu wewe asili yako haiko huko Kwahiyo na wewe ukitaka ufanikiwe kwenye mambo ya kimila nilazima ufuate zile mila ambazo zinafungamana na asili yako.

Tukirudi kwenye biashara ni the same, biashara ambayo inampa faida kubwa sana rafiki yako wewe ukienda kuijaribu unaweza usifanikiwe hata kwa japo faida kidogo, sana sana utapoteza mtaji wote huko kwasababu hiyo biashara haifungamani na wewe kiasili ila biashara hiyo hiyo ambayo wewe hufanikiwi nayo unakuta Kuna rafiki yenu mwingine kwenye hiyo cycle yenu nae anajaribu kuifanya ghafla anafanikiwa, sasa wewe unaweza kujihisi unagundu na mikosi ila wala sio kweli ni vile tu haujui namna ya ulimwengu unavyofanya kazi.

Kuna biashara ambazo zinafungamana na watu fulani fulani na Kuna biashara ambazo hazifungamani na watu fulani fulani.

Najua ni mambo ambayo yanashangaza halafu yamekaa kufikirika fikirika sana, ila ndio asili ilivyo na ndio maana always unaambiwa dunia inaendeshwa na watu wenye nguvu, sasa watu wenye nguvu sio kwamba wako na misuli mingi, hapana ila watu wenye nguvu huwa wanajua namna universe inavyofanya kazi na ndio maana unaona matajiri wengi huwa wanawekeza pesa nyingi kwenye vistartup venye idea nyepesi sana wakati wangeamua wangeweza kununua hizo algorithm na kuzifanya wao wenyewe ila wanafanya hivi kwasababu wanajua sio kila biashara lazima wewe uwe main player lakini unaweza kutembelea migongo au nyota ya watu wengine kwa kuwekeza kwao kwenye zile biashara ambazo zinafungamana na wao moja kwa moja na ukaendelea kula share zako kwa kadri ya ulivyowekeza.

NB
Hii ni code nimewafungulia sasa unaweza ukapita nayo au ukaipita... Yesu mwenyewe alikua fundi selemala kwani unadhani hakuona kazi zingine za kufanya 😆😆😆😆

Unatakiwa ujue hatima yako kwanza... kila mtu huko hapa duniani kwa lengo maalumu na hilo lengo ndio hatima na kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako... kwa hiyo ukijua hatima yako ndio umejua asili yako na ukijua asili yako basi itakua rahisi kujua biashara zinazoendana na asili hiyo... ukishindwa ndio unafanya try and error hadi utakapojipata though hii ni very boring na inachukua muda sana kujipata.

Baki kwenye huu uzi hadi ukimalizika kuna kitu unaweza ukatoka nacho Thread 'Dunia ni uwanja wa vita za hatima.' Dunia ni uwanja wa vita za hatima.
Sawa kk umeongea point sana ila jinsi ya kujua hiyo hatima yako au kipawa chako maana wengi wansema tuangalie passion tunapenda nini ila mimi kama mimi cjui hata napenda nini ila kitu kinachoniingizia pesa nakipenda hata iwe mamantilie mimi fresh as long as pesa inaingia fresh tu
 
Kitu chochote unachokifanya kwa kutumia nguvu nyingi na kinakupa matokeo hafifu kuliko nguvu ulizotumia.

Ujue hiko si Kitu kinachofungamana na wewe so usipoteze muda endelea kujitafuta kwenye biashara nyingine na ipo siku utaangukia kwenye biashara moja na once utakapoianza utajutia why hukuianza tangu zamani na usikute ndio biashara ambayo ulikua unatamanigi kuifanya ila ukawa unaidharau kwakua watu hawaizungumzii sana.
Uzi ufungwe. Ulichosema ni sahihi 100%. Hakuna haja ya kung'ang'ania biashara inayokuumiza.
 
Biashara ya hasara sana hiyo....uchawi mwingi mno.Unaweza dhani wauza mchele kumbe wateja waona chumvi ya mawe.

Kuna mtu jirani hapa yalimkuta,yeye anauza kuni Kila siku wateja wanalalamika kuwa Kuni mbichi haziwaki.

kimuonekano Kuni ni kaukau balaa...kumbe.

walishambadilishia walimwekea miwa yeye hajui
Uko na namba ya mganga hapo?
 
Pole mkuu...

Ila unatakiwa ujue kwamba asilimia kubwa ya watu ambao wamefanikiwa kwenye maisha ya utafutaji hasa kupitia kwenye upande huo wa kibiashara ni kwamba wameweza kujiungamanisha na upande wa kiroho iwe kwa kujua au kwa kutokujua na iwe upande wa kiroho wa gizani au upande wa kiroho wa nuruni, huwa haijalishi Ila nguvu za umiliki huwa haziko upande huu wa damu na nyama bali zipo upande wako wa pili ambao ni upande wa kiroho.

Kwahiyo Kuna watu ambao walijaribu biashara nyingi sana ambazo zote hazikuwapa mafanikio Ila baadae walikuja kukutana na biashara moja tu ambayo walivyoamua kuifanya hapo hapo wakaanza Kuona mafanikio ambayo hawajawahi yaona kwenye biashara nyingi walizowahi kuzifanya na hii biashara ndio tunasema sasa kwamba inayo muunganiko wa moja kwa moja na upande wako wa kiroho Kwahiyo inakuunganisha pasipo wewe mwenyewe kujua.

Inawezekana hujaelewa hapo Ila nakuhakikishia kwamba biashara ni kama mila na desturi zilizopo kwenye makabila, kwamba Kuna mila inaaminiwa sana na kabila fulani na wanaifuata kwasababu inawapa matokeo wanayoyataka pindi wanapoifuata Ila wewe mtu wa kabila lingine ukienda kuifuata hiyo mila haitakupatia chochote unachotaka kwasababu wewe asili yako haiko huko Kwahiyo na wewe ukitaka ufanikiwe kwenye mambo ya kimila nilazima ufuate zile mila ambazo zinafungamana na asili yako.

Tukirudi kwenye biashara ni the same, biashara ambayo inampa faida kubwa sana rafiki yako wewe ukienda kuijaribu unaweza usifanikiwe hata kwa japo faida kidogo, sana sana utapoteza mtaji wote huko kwasababu hiyo biashara haifungamani na wewe kiasili ila biashara hiyo hiyo ambayo wewe hufanikiwi nayo unakuta Kuna rafiki yenu mwingine kwenye hiyo cycle yenu nae anajaribu kuifanya ghafla anafanikiwa, sasa wewe unaweza kujihisi unagundu na mikosi ila wala sio kweli ni vile tu haujui namna ya ulimwengu unavyofanya kazi.

Kuna biashara ambazo zinafungamana na watu fulani fulani na Kuna biashara ambazo hazifungamani na watu fulani fulani.

Najua ni mambo ambayo yanashangaza halafu yamekaa kufikirika fikirika sana, ila ndio asili ilivyo na ndio maana always unaambiwa dunia inaendeshwa na watu wenye nguvu, sasa watu wenye nguvu sio kwamba wako na misuli mingi, hapana ila watu wenye nguvu huwa wanajua namna universe inavyofanya kazi na ndio maana unaona matajiri wengi huwa wanawekeza pesa nyingi kwenye vistartup venye idea nyepesi sana wakati wangeamua wangeweza kununua hizo algorithm na kuzifanya wao wenyewe ila wanafanya hivi kwasababu wanajua sio kila biashara lazima wewe uwe main player lakini unaweza kutembelea migongo au nyota ya watu wengine kwa kuwekeza kwao kwenye zile biashara ambazo zinafungamana na wao moja kwa moja na ukaendelea kula share zako kwa kadri ya ulivyowekeza.

NB
Hii ni code nimewafungulia sasa unaweza ukapita nayo au ukaipita... Yesu mwenyewe alikua fundi selemala kwani unadhani hakuona kazi zingine za kufanya 😆😆😆😆

Unatakiwa ujue hatima yako kwanza... kila mtu huko hapa duniani kwa lengo maalumu na hilo lengo ndio hatima na kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako... kwa hiyo ukijua hatima yako ndio umejua asili yako na ukijua asili yako basi itakua rahisi kujua biashara zinazoendana na asili hiyo... ukishindwa ndio unafanya try and error hadi utakapojipata though hii ni very boring na inachukua muda sana kujipata.

Baki kwenye huu uzi hadi ukimalizika kuna kitu unaweza ukatoka nacho Thread 'Dunia ni uwanja wa vita za hatima.' Dunia ni uwanja wa vita za hatima.
Kuna jambo la msingi sana hapa, shukrani mkuu 🤝
 
Hebu anza hapa hapa,watangazie wadau wa JF kua una mchele mzuri,toa na location wadau wa njia ya mbagala wawe wanapitia hapo walau kilo10 kwenda mbele plus maharage,unga n.k

Nilivyoelewa,unajarbu kwenda ki-professional sehemu ya uswahilini.
Badili gear,ila komaa hapo hapo Mzee ila fanya market
 

Muda mwingine sawa tusikate tamaa ila anagalia hukatii tamaa kweny nini maisha yamebadilika asaivii

Huyu jamaa kaongea point sanaa
 
Habarii wana JF natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Biashara ni Rahisi akihadithia mwenzako...Mimi Pia napambana kubakiza mtaji ila tusikate Tamaa mkuu
 
Mkuu watu kwenye biashara huwa hawaingii hivi hivi...! Mambo ya kiroho lazima yahusike..! Usione wenzako wanauza wateja hawakauki angalia wapi unakosea..!
 
Back
Top Bottom