Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Mbona mi nashindwa kuacha kununua malaya, kuna wakati natamani ikifika weekend hata nijifumge minyororo kwenye mti na funguo ya kufuli nimpe mtu akae nayo kwa muda
Kutamani tu kuacha ni hatua ya kuamua....it is always possible.
Roho yako ipo tayari mwili wako ni dhaifu...hii haimaanishi hautaweza kuacha.
BIG UP SANA
 
Aisee... Nashuru sanaa Ubarikiwe
Huu ujumbe nacopy ku paste sehem Kila sku asubuhi lazma niusome mpka nione nimebadilika

Thanks 🙏
 
Until here, tatzo langu linaelekea limepata solution thank you so much
GOD BLESS YOU
 
Ashike hapaaaa.
 
Nichek DM nkusaidie
 
masaa 1.5 mpaka mawili shahawa tayari zishatengenezwa za kutosha

napiga 4 kwa siku, saa 11 alfajiri, saa 6 mchana, saa 12 jioni na saa 4 usiku
tena shahawa nyingi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawaaah
 
Yaan asome hapa kwa umakini na afanyie kazi.
Problem solved.
 
Mbona mi nashindwa kuacha kununua malaya, kuna wakati natamani ikifika weekend hata nijifumge minyororo kwenye mti na funguo ya kufuli nimpe mtu akae nayo kwa muda
Sasa si hujaamua wee mwenyewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuwa mtu wa Ibada. Mpende Mungu na umtafute Kwa bidii na Kwa akili yako yote. Ifike mahala kabla hujaamua kufanya huo mchezo upate majuto moyoni na si majuto yaje baada ya kumaliza. Unachoshindwa kuelewa ni kwamba kujiamini huanzia akilini, ni kweli unajiona mkosaji lakini tambua kukosea hakukuondolei thamani ya utu wako. Jione kua unakosea katika upande huo lakini wengine wanakosea katika Mambo mengine, na Kwa mantiki hiyo elewa hakuna binadamu mkamilifu. Kwa kutambua kua hatujakamilika anza kutambua kua hata marafiki zako Wana mapungufu na bado hawayaweki mbele kabla ya thamani ya utu wao binafsi. Hapa maana yangu ni moja Kwamba unatakiwa ujipende wewe binafsi ndipo utakapopata ujasiri wa kuchangamana na watu wengine.
Kama haujipendi ni dhambi Kwa Mungu lakini pia tambua wakati wewe unajishusha thamani watu bado wanakuona mwema na unastahili kuishi kama waishivyo binadamu wengine. Hivyo basi anza kuchangamana na aina tofauti za watu bila kuhofia wanavyoluchukulia. Jungle na vijana wa rika lako lakini wasio na tabia mbaya, Acha kukaa peke yako MDA mwingi hiyo itaendelea kufanya uwe addicted na hiyo punyeto. Hata mimi niliwahi kufanya huo mchezo mbaya lakini nashukuru Mungu niliachana nao nina make na watoto.
Mwisho kabisa Mungu wa mbinguni akupe nguvu ya kuepukana na hili janga lianalotesa vijana walio wengi.
Ubarikiwe sana kama utachukua hatua.
 
💯
 
Sidhani kama hayo unayosema ni kweli....don't be harsh kwake....

Mtu mpaka anaamua kuandika hapa ujue ana tatizo kubwa na anakosa jinsi ya kulisolve

Kuliko kumuongezea stress na kumtukana its better ukae kimya....
🔨🔨🔨
 
💯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…