ππKumbe we ndo unamvujishiaga pepa Half american mpaka anafanikiwa, mi nikimuuliza umefanikiwaje ananambia yy hua anaandika point mpaka wachumba wanaandika "Nakazia" kwenye comment yake
πππNakugawa Mdogo wangu ππ lol
Niruhusu nije faragha unidokoze huenda nawinda bila kujua nawinda au niite sehemuππ
Halafu mzee wa kukazia huyu ni mrembo Lightysh bila shaka..!! Ila lakini mbona Mpaji nakuonaga kwenye moja na mbili..!!
Sema yanaanziaga mbali "NAKAZIA" mwisho wa siku vikazio vinakazana mpaka kunakazikaKama mtu anaandika mapointi kukazia muhimuπ€£
Tafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
ππFanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
Marahaba Mdogo wangu. I hope uko vizuri. ππππ
dada Shaddie shikamoo, ukinigawa utabaki Yanga na nani..??
ππSema yanaanziaga mbali "NAKAZIA" mwisho wa siku vikazio vinakazana mpaka kunakazika
Haya bn shemejiππ
Hatari lakini salama
Uzuri na ubaya hizo sheria ngumu ziko pande zote.πππ
Nikiangalia maisha yangu sahii yalivyo na uhuru, kutoka, kuingia, kupika, kutopika,
ghafla bin vup', zinaanza sheria ngumu, eeh' Jehovah...!!
Wachumbaaa.....mishangazi π π π π π π π π π π πHapo kwenye utani wa hovyo mi ndo pana nikosesha wachumba humu..
ππππππ
Tuko poa uko missed sana Rafiki,karibu tena.Nipo mkuu, majukumu tu ya hapa na pale
Vipi lakini unaendeleaje??
Asante, niliwamisi sana na mimi.. Wacha tuendelee kuwepo humuπ€Tuko poa uko missed sana Rafiki,karibu tena.
Hii imekaa poa sana [emoji1787][emoji1787]Tafuta thread ya miaka ya zamani huko hata 2008 huko ambazo hazina comments nyingi nyingi Mtag halafu muendelee Huko
Sawasawa, imeisha hiyoHii imekaa poa sana [emoji1787][emoji1787]
Mtumie huyu laki 3 ya kusukaπ€£π€£π€£π
Halafu ukichuna wanaona pisi za jf ni ng'ombe π€£π€£π€£π€£ππππ
Halafu hawa wa salamu nyingi huwa wanakwaza,
Imagine mtu kakufata PM yupo serious eti 'niambie my'...!!
Naichukia hiyo 'niambie', hiyo 'My' ndiyo napata kichefuchefu kabisa..!!
Sawam
Mtumie huyu laki 3 ya kusuka