Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Kumbe we ndo unamvujishiaga pepa Half american mpaka anafanikiwa, mi nikimuuliza umefanikiwaje ananambia yy hua anaandika point mpaka wachumba wanaandika "Nakazia" kwenye comment yake
πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu mzee wa kukazia huyu ni mrembo Lightysh bila shaka..!! Ila lakini mbona Mpaji nakuonaga kwenye moja na mbili..!!
 
πŸ’πŸ’
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
Halafu hawa wa salamu nyingi huwa wanakwaza,
Imagine mtu kakufata PM yupo serious eti 'niambie my'...!!
Naichukia hiyo 'niambie', hiyo 'My' ndiyo napata kichefuchefu kabisa..!!
Halafu ukichuna wanaona pisi za jf ni ng'ombe 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…