ππMkishakubaliana kila kitu hakikisha haka ka kipimo kapo mezani kabisa.
Mwanamke anapenda kisifiwa ni nature hio, mm ntamuanzishia mmoja hivi namlia timing tuAsifanye huo ujinga, sio wote wanapenda sifa
Uzi nikifunguliwa na mtu ninayemkubali nafurahi tofauti na hapo naupita kama sioni.Mwanamke anapenda kisifiwa ni nature hio, mm ntamuanzishia mmoja hivi namlia timing tu
Akiskia itakua kasheshe hapa mkuu ππππππUmeamua kutoa mbinu kwa vitendo π
Ona ss we siumesema hupendi? Nyie tunawajua hamuelewekagiUzi nikifunguliwa na mtu ninayemkubali nafurahi tofauti na hapo naupita kama sioni.
Tupo very matured kwa haya mamboPoor Brain anatoa mbinu kwa vitendo siyo vibaya ukitoa ushirikiano ili mleta mada apate kujifunza π
Very maturedππππ
Kama mtu sio mpenzi wako uzi wa nini?Ona ss we siumesema hupendi? Nyie tunawajua hamuelewekagi
Jf ina wanawake 6 tu hadi kufikia march 2024 (za ndani kabisa hizi)Humu ndani tuko laki 6 wanawake wako laki 2 wanaume tuko laki 4 imaging apo.
kuwa makini akili kumkichwa.
Ss mtoa mada kalamika hamfungui pm, atajuaje kama anapendwa au laa?Kama mtu sio mpenzi wako uzi wa nini?
Ndio maana nikasema sio wote wanaofurahia kufunguliwa uzi ikiwa huna mahusiano nae nikiwemo mimi.
Hiii kama anaamini flani hivi...Jf ina wanawake 6 tu hadi kufikia march 2024 (za ndani kabisa hizi)
Aombe afunguliwe ikishindikana atengeneze mazoea kuona kama panaingilika au lahSs mtoa mada kalamika hamfungui pm, atajuaje kama anapendwa au laa?
Halina ubishi, walikua wanawake wanne tu, hao wawili wamejoin mwaka huu.....jf ni kiumeni πΉHiii kama anaamini flani hivi...
Mana nina experience nayo
Sasa mbon umerudi kwenye point uliyoikataa.... kumfungulia uzi is the main solution inapunguza mda na unaenda direct to the pointAombe afunguliwe ikishindikana atengeneze mazoea kuona kama panaingilika au lah
Kama pisi imefunga pm lakini akavutiwa na wewe lazima siku atakufungulia.
Au amfungulie uzi anaweza kubahatisha huyo pisi akafurahi wakayajenga
Sina mbinua ya kukupa, ila tahadhari tuu kuwa utatongoza wanaume wengi sana kwa hili bandiko lako, humu jf ni chaka la kutisha. AhsanteKatika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Hiyo ni chaguo la mwisho kama hayo mengine yakifailSasa mbon umerudi kwenye point uliyoikataa.... kumfungulia uzi is the main solution inapunguza mda na unaenda direct to the point
Wewe upo wapi sasa mbona tunatishana ππππππππHalina ubishi, walikua wanawake wanne tu, hao wawili wamejoin mwaka huu.....jf ni kiumeni πΉ