Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Ss mtoa mada kalamika hamfungui pm, atajuaje kama anapendwa au laa?
Aombe afunguliwe ikishindikana atengeneze mazoea kuona kama panaingilika au lah
Kama pisi imefunga pm lakini akavutiwa na wewe lazima siku atakufungulia.
Au amfungulie uzi anaweza kubahatisha huyo pisi akafurahi wakayajenga
 
Ushapewa mbinu.....mie nakupa nyongeza tu ukishapata chance ya kufika pm ingia na miguu miwili salimia, jitambulishe sema nia yako.

Sio unaenda pm vipi my niambie, sa uambiwe nini?? Kakuambia anataka kukwambia kitu?? We mwenye nacho ndio useme.
Au salamu nyiiiiingi, mambo, unajibiwa poa, za huko.....huku wapi???!!!
 
Aombe afunguliwe ikishindikana atengeneze mazoea kuona kama panaingilika au lah
Kama pisi imefunga pm lakini akavutiwa na wewe lazima siku atakufungulia.
Au amfungulie uzi anaweza kubahatisha huyo pisi akafurahi wakayajenga
Sasa mbon umerudi kwenye point uliyoikataa.... kumfungulia uzi is the main solution inapunguza mda na unaenda direct to the point
 
Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.

Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.

Unajiuliza nini hiki sasa.

Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.

Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.

Kumuanzishia thread haijakaa poa.

Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.

Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Sina mbinua ya kukupa, ila tahadhari tuu kuwa utatongoza wanaume wengi sana kwa hili bandiko lako, humu jf ni chaka la kutisha. Ahsante
 
Back
Top Bottom