Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mishangazi hiyo hiyo sema nimeambiwa hilo neno now nisitumie et..π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊWachumbaaa.....mishangazi π π π π π π π π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishangazi hiyo hiyo sema nimeambiwa hilo neno now nisitumie et..π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊWachumbaaa.....mishangazi π π π π π π π π π π π
Salamu nyingi wakasalimiane na wakwe zao huko.....πΉHahahah
Hii nimeona wanawake wengi JF wanalalamika.
Vp, mambo, unafnya nini, nyingi sana.
HapanaAnataka akuwowe
π wakuandika point ntakuwa mimi?Kumbe we ndo unamvujishiaga pepa Half american mpaka anafanikiwa, mi nikimuuliza umefanikiwaje ananambia yy hua anaandika point mpaka wachumba wanaandika "Nakazia" kwenye comment yake
Harusi tunayoπ wakuandika point ntakuwa mimi?
Wakinipenda shauri yao mi nna wangu mmoja humu nampenda mpaka naumwa na anajijua.
Watu kumbe mnapendana humu, kweli jf kuna siriπ€Έπ wakuandika point ntakuwa mimi?
Wakinipenda shauri yao mi nna wangu mmoja humu nampenda mpaka naumwa na anajijua.
Ogopa matapeli, wanaliana timing tu hamna mapenzi humo kawaweka kama watano hv kwenye radar anawafilter taratibu....anaekua filtered haachwi anakua fungu la contingency reserveWatu kumbe mnapendana humu, kweli jf kuna siriπ€Έ
Mpaji Mungu
Mtaje πππ wakuandika point ntakuwa mimi?
Wakinipenda shauri yao mi nna wangu mmoja humu nampenda mpaka naumwa na anajijua.
Mtaje ππ
NakaziaKama unamjua mtaje
π sasa kama wewe una mwanaccm wako yule swaafi kabisa, mimi naanzaje kukosa? Nampenda sana huyo dada siwezi elezea kwa maneno ikaeleweka.Watu kumbe mnapendana humu, kweli jf kuna siriπ€Έ
Mpaji Mungu
Mtaje sasaNakazia
Uongo! Yaani unao watatu kila mmoja anadhani yeyeπ sasa kama wewe una mwanaccm wako yule swaafi kabisa, mimi naanzaje kukosa? Nampenda sana huyo dada siwezi elezea kwa maneno ikaeleweka.
Mnayo sare ya harusi itakuwa rangi ya jf logo πHarusi tunayo
Nakagua vyeti vya mwanasheria wangu kutaja kwangu sio shidaMtaje sasa
Eeh watatu? Moyo wangu ni special kwa mtu mmoja tu anajijua haina haja ya kutaja ila jina lake lipo kati ya herufi A to Z.Uongo! Yaani unao watatu kila mkoja anadhani yeye
Taja hata herufi ya mwanzo ya jina
π kagua kama hayupo usijichanganyeNakagua vyeti vya mwanasheria wangu kutaja kwangu sio shida