Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna shaka boss Mungu akuongoze cya soonUkikwama nipigie 0757720362
Konyagi ndogo elfu 5 kubwa elfu 12.mtaalam na mwalimu wa mwandiko jf
Umeniandaliaje upande wa konyagi
Ungeweka na bei za vinywaji...
Kuna watu tuliwahi acha bar simu nasaki tukajua 2500 bia 8 ikaletwa 40000 simbaya kutuweka wazi boss lady
Hongera sanasanaa
SawaHamna shaka boss Mungu akuongoze cya soon
Ilikuwa ofa ya leo tuDah! Mambo mazuri yote yapo huko haluuu hapo kwenye misosi ndo penyewe Nyama bureee haluuu, (Sina kitu)😁
Akuvute uende wapiPicha ??? Utatuvutia vp ambao hatuijui?
M jmosi ama ijumaa niko huko inabidi hii ofa niwekewe hata sahaniIlikuwa ofa ya leo tu
Waache na nidda I'dWakopaji piga picha asipolipa MUDA tajwa ....unamleta ajadiliwe
Ni Run way au Runway? Nisije nikapotea.Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Shukia kinyerezi shule, ni mwendo wa dakika tatu mpaka tano kwa kutembea . Kinyerezi mahakamani karibu na Ikupa bakery utaona pub imeandikwa Runway Pub and Grill.BOSS UKIPANDA BASI ZA MBEZI TO HUKO UNASHUKIA KTUOO GANI...
Runway Pub &Grill.Ni Run way au Runway? Nisije nikapotea.
Tumia Avatar yako kujitambulisha, nimetumia na nikazigida.Tukija tujitambulisheje na je tutapata punguzo?
Ulifanikiwa kufika?Tumia Avatar yako kujitambulisha, nimetumia na nikazigida.
yyBoss nitakuja na wanangu. Wahudumu wa kike wazuri wapo?
Pub yenu huwa mnakesha?Bado tunakiwasha 🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sana. Kila la kheri ndugu yangu.Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.