Naombeni ushauri wenye busara juu ya hili

Vipi kaka tuweke wazi kama mari inatoa harufu mbovu tumpe tiba shemeji,maana Kitu ambacho mwanaume hawezi kukivumilia kwa hari yoyote ni hiyo kitu[emoji3]
Samaki wabichi waliokaa mda mrefu wakachacha wakaoza,
 
Analigusa baba yao pekee.... wanangu watagusaje tako langu wewe ni kichaa?
Na wajomba au maanko vipi hawaligusi? Jr ngoja usiguse tako hili tako ataligusa anko sawa Jr kanywe juice ile ya embe kwanza,
 
Huu muda ulioutumia kuandika upupu, si ungekua unampeti peti mkeo, mnatekenyana na kunyanduana mtafute kababy..... au alichohoji mzee ni kweli [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah itakua kwelii
 
Yaani Baba yako(Msiri wako) akuulize swali la msingi kabisa halafu ukasirike. Ama hakika haya ni matumizi mabaya ya hasira
 
Ushauri wa hovyoo huu.
 
Vipi kaka tuweke wazi kama mari inatoa harufu mbovu tumpe tiba shemeji,maana Kitu ambacho mwanaume hawezi kukivumilia kwa hari yoyote ni hiyo kitu[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu
 
Nilitoa sababu hio japokuwa ndani ya nafsi yangu kuna malalamiko mengine ambayo nimeamua kufa nayo kiume siku hiyo.
Pole aisee, jaribu kutafuta suluhisho la matatizo ya kiafya ya mkeo.
 
Huu muda ulioutumia kuandika upupu, si ungekua unampeti peti mkeo, mnatekenyana na kunyanduana mtafute kababy..... au alichohoji mzee ni kweli [emoji849]
Watanyanduana vipi ilhali mwenza anaenda bleed takribani siku 60!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…