Naombeni ushauri wenye busara juu ya hili

Mtoa mada kuna jambo anaficha! Binti amwage mfululizo hlf tena akashtaki kwa wazazi! Mbona haiingii akilini
Unacheza na women wewe! Hapo anataka awe anamuona jamaa kama pambo ilhali mzigo hampi.
 
Hv huyo ndo umlete ni-debate nae kwel apana mda mwingine kataa ndoa tujibiwe na watu ambao kichwani pako vzr..... vijana wengi wanaoingia kwenye ndoa siku hz kichwani wana........ ngoja niangalie Kuna notification hapa takuja kumalizia kuandika
 
Miezi miwili? Mimi aliniambia sijui ana mabonge sijui uvimbe kwenye mirija ya uzazi na hedhi yake ni siku 31/34 na akiingia hedhi yanatoka mabonge ya damu, miezi mitatu mingi nilipita hivi
Mimi mpenzi wangu kwa wiki ya siku saba, tano kati ya hizo anaumwa. Mara jino linauma shavu limevimba, mara hedhi inauma, mara pressure, mara kichwa. Nikaona hapa nikiendelea nae nakuwa daktari bila kusomea nikala kona.

Unakuwa na mpenzi unamtakia neno pole mara nyingi kuliko neno nakupenda. Unakuwa muuguzi badala ya boyfriend
 
Mtoa mada kuna jambo anaficha! Binti amwage mfululizo hlf tena akashtaki kwa wazazi! Mbona haiingii akilini
Jamaa ana shida ila sababu ni mpuuzi anasingizia yuko busy na project.
Binti anayejua ana shida anaongea na wazazi wake kwa siri wanatafuta dawa hata mume hujui, wanahangaika kutibu. Ikitokea wakajihakikishia hana shida ndio wanakutazama mwanaume.

Sasa hili liko na projects mpaka babake kaambiwa naye kwa uzoefu wake akajua kuna shida ila hawezi kuja direct na kukwambia ukweli. Inabidi azuge kama haelewi hivi, jamaa kakasirika kuambiwa.
Yuko busy na projects bwana hospitali hana muda wa kwenda
 
Maisha ya ndoa ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye mahusiano yako hadi ukabaki unashangaa.

Kwa upande wa wanaume nadhani hii inawatokea sana utasikia kabisa mtu anasema "Aisee mimi niko bize sana.

Hatima yako ipo mikononi mwako, usiache marafiki wakuchagulie Hatima yako kwa vitu ambavyo hupendi...
 
Kosa la kwanza ni kuweka third part kwenye kusuluhisha mambo yenu wawili..


Hii ndoa haina muda mrefu…
 
Nalima, Napanda ila sioni dalili ya mazao. Hili ndio tatizo mpaka nakata tamaa
Hiv huwa mnatiana sababu ya mimba tu?? Na kipnd hiki cha barid halaf aumpi stareh ya ndoa mwenzako unamtesa mno!! Kuwa na tatzo la uzazi inabd asaidike mwende hosptal ila haizuii kutiana nae sbabu hio nistarehe yenu ya ndoa au ulwaza kumtia sbabu ya mimba tu akpata mimba humtii tena
 
Tatizo lako humpelekei Moto huyo mke.
Kumbuke mwanamke akiolewa anategemea atato**wa. Sasa wewe himto***I ndio shida.
 
Mke ulipewa au ulimchukua?
 
We jamaa unazingua sana kinachomkera mkeo mpaka anafika hatua ya kupiga simu kwenu ni wewe haiwezekani mwenzio ana shida ya kiuzazi alafu unajifanya upo bize na maproject yako unashindwa hata kumpeleka hospital kupata tiba ili mutafute mnachotafuta badala yake upo bize acha hizo aisee chukua muda mpeleke apate tiba mkeo pia mpelekee moto aswaaa uone kama mashtaka yataendelea au lah
 
Ushauri wangu nipe Kwanza namba ya Simu ya Mkeo niwasiliane nae huku Wewe ukiendelea Kuwasiliana na Baba na Mawasiliano yangu na Mkeo yakifana na kwa Tiba Kuu ambayo nitampa naamini atatulia na mtaanza Kuishi vyema kabisa.
 
Una umri wa miaka mingapi?
Huna hata Mwaka ndoa imeshaanza migogoro?

Ukweli ni kuwa kitendo cha Kubleed kila mara ndio kimekukosesha hamu naye na ndio maana uko bize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…