Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
- Thread starter
- #41
Kivipi fafanua mkuuNdoto za mchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi fafanua mkuuNdoto za mchana
Kwani wao nani? Wameumbwa au wamejiumba?Inawekana us kutoa wakimbizi Ila ni ngumu sana
Ila Israel kuachia Tena Ardhi yake ni ngumu kwa nyakati haiwezekani kwa nyakati hizi
Uko sahihi mkuuAna control anga baadhi ya maeneo ndio maana anaweza kufanya operation na kupambana na iran ndani ya syria
Huwezi kuleta utetezi wa kijinga namna hiyo. Huwezi ukamuua jirani yako alafu ukaenda maakamani na kuleta utetezi wa kifara namana hiyo.P
Je Kama ubalozi utakuwa sehemu ya kupangia mipango ya kumshambulia taifa jingine ukilipuliwa ni kosa
Kwa mfano Tiss iwe na taarifa za uhakika kwamba ubolozi wa Marekani inatumika kufanya mipango ya kijeshi kumshambulia Tanzania
Sisi tukawawahi kuwalipua ni kosa ?
Wameumbwa Ila Wana maarifa na uwezo wa mkubwa Sana kuliko mataifa mengiKwani wao nani? Wameumbwa au wamejiumba?
Ubolozi una taratibu zake sio kufanya Kila unalojisikia ukivuka taratibu lazima ujiingize kwenye matatizoHuwezi kuleta utetezi wa kijinga namna hiyo. Huwezi ukamuua jirani yako alafu ukaenda maakamani na kuleta utetezi wa kifara namana hiyo.
Wengi wao ni WAKRISTO,yaani wao kazi Yao siku zote ni kuwapa hofu waislamu na kuwakatisha tamaaHivi kwa nini humu watu wengi wanahofia kuhusu Jamhuri ya kiislam ya Iran ambayo imewekwa na Wairan wenyewe kupitia mapinduzi kwamba ipo mashakani kuangushwa ?
Ila Madhara ya vita ni pande zote mkuuHiyo ni lugha ya diplomasia ya nchi zozote asionekane anaonea nchi zingine, kama huamini, subiri hii vita US ndio anaenda mpiga Iran na Iran anapotezwa moja kwa moja, mark my words..!!
Sio Ishu ya dini mkuuWengi wao ni WAKRISTO,yaani wao kazi Yao siku zote ni kuwapa hofu waislamu na kuwakatisha tamaa
Na ndio kazi ya shetani,kuwajaza binadamu hofu ili akuondoshe kwenye mstari
Sina uhakika yawezekana wanajipanga kwa vita ya Muda mrefu sanaIran wana maneno mengi vitendo sifuri.
Duhhh 😀😀Watu msio na akili mnaongea as if Iran ana uwezo huo, huo msafara wa Iran utateketezwa kabla ya kufika Syria na US yuko front line soon utaona moto unawaka Tehran and Ayatollah atakamatwa mchana kweupe na kuuawa mkiona, sasa US and Israel ndio wakati walisubiri sana kuiteketeza Iran na middle East itatulia, ni plan ya miaka karibu 40 ya kuiteketeza Iran na hii plan ilipangwa kwa kuipunguza nguvu za Russia kijeshi kwa vita vya Ukraine, sasa Iran atapigwa peke yake kwani Russia hatamsaidia ana vita yake kali na Ukraine.,
Sasa plan imekamilika kumpiga Iran kwani hakuna wa kumsaidia, watu wengi hawajui US ni Israel and vice versa, kwani wayahudi ndio wanaongoza US na dunia hii kwa sasa, Iran inaenda kuangamia moja kwa moja na hicho ndio kipo Washington kuichakaza Iran na itakuwa kama Libya, Iraq, Afghanistan or Syria
Hapana hujui kitu wewe au hujui war history hata moja…Ila Madhara ya vita ni pande zote mkuu
Mwenzako amesema walifanya tafiti na Mossad wako vizuri hawabahatishiHuna akili. Utetezi wa kijinga sana. Kwahiyo unahalalisha nchi kufanya mashambulizi ya kijinga kwa hisia
Yaan huko nako lazima abamizweUko sahihi mkuu
Ndo maana Iran akijichanganya atumie Syria bado Kuna uwezekano wa kupigwa pia
Huelewi unachokiongea ww !! Udini ndio umekukaa kichwaniWengi wao ni WAKRISTO,yaani wao kazi Yao siku zote ni kuwapa hofu waislamu na kuwakatisha tamaa
Na ndio kazi ya shetani,kuwajaza binadamu hofu ili akuondoshe kwenye mstari
Anapoongelewa Iran utaona MKRIST na backup ya Israel na USA 😀Sio Ishu ya dini mkuu
Tunaongelea uhalisia wa Hali ilivyo
Kwahiyo huko Iran hakuna WAKRISTO na hakuna makanisa??Huelewi unachokiongea ww !! Udini ndio umekukaa kichwani
hamna mtu anaewaza uislam wala dini hii ni alaysis ya maswala ya kivip
Iran si nchi liberal ni nchi inayojiita ya kiislam kwa maana imenyang’anya uhuru wa dini zingine na kuwataka wote wafuate taratibu za kiislam
Mkuu nchi pekee ambayo ni tishio kwa USA na genge lake pale mashariki ya kati ni IRANHivi kwa nini humu watu wengi wanahofia kuhusu Jamhuri ya kiislam ya Iran ambayo imewekwa na Wairan wenyewe kupitia mapinduzi kwamba ipo mashakani kuangushwa ?
Wewe ndo huna akili sisi watu wanachambua vita we unaleta udini??Anapoongelewa Iran utaona MKRIST na backup ya Israel na USA 😀
Watakuambia Iran inakwenda kufutika
Watakuambia Iran inakwenda kupigwa ndani ya mwezi mmoja tu 😀😀
Watakuambia Iran itateketezwa haitochukua muda 😀😀
Yaani
Kwahiyo huko Iran hakuna WAKRISTO na hakuna makanisa??
Uislamu ni dini yenye taratibu zake kama UKRISTO na taratibu zake
Uislamu unasema "hakuna kubembelezana kwenye dini",yaani unamfikishia mtu ujumbe then akiukubali it's okay na akiukataa ni shauri yake mwenyewe
Nyie WAKRISTO wa wapi sijui
Wewe Una akili ipi MKRISTOWewe ndo huna akili sisi watu wanachambua vita we unaleta udini??
Ni ngumu sana kumueleimisha muislam akaelewa .
Hii dini inaingiza ujinga kwene vichwa vya watu kamwe mtu hawezi kuwa huru
Alokwambia mimi mkristo nani??Wewe Una akili ipi MKRISTO