The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Sawa mama ake mdogo Samia..Prof Kaboko,
Naona kitu ambacho ama hukioni au unajifanya hukioni.
Freeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano.
Kwa ufupi, Mbowe alitangaza nia ya kufanya uhaini, pure and simple.
Hauzifahamu kanuni za kuwashughulikia watu wenye dhamira ya kufanya uhaini?
Wewe ungekuwa mkuu wa serikali usingezitumia?
We have to call a spade not a spoon.
Asylum-seekers inabidi tucheze na hii fursa huko ughaibuniKitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability
Sawa mkuuMama amerudisha siasa za chukim Tuliaema kwa Magufuli hata kwake tunasema tena.
Gashinaga ole ng'wichane?Kaya ya nshimbe eteniilange.[emoji1614][emoji36]
Tunasubiri huo uzi mkuu.Naiona nchi ikiwa kwenye Auto Pilot.
Nitaleta Uzi wake baadaye.
Yaani Rais anaagiza tu ‘Fulani akamatwe’……‘Fulani aachiwe’.Wakati wa utawala wa Kikwete, waendesha JF walikamatwa na Polisi waliokuwa wanajipendekeza kwa Kikwete, bila Kikwete kuagiza.
Kikwete mwanadiplomasia akaona hilo jambo linamuharibia jina la nchi yake.
Akaagiza waachiwe mara moja. Nchi isichafuliwe.
Wakaachiwa.
Kwa nini rais wa sasa kama kweli hafurahii yanayotokoea asiagize kama hivyo alivyoagiza Kikwete?
Kama DPP ambaye ni presidential appointee anaweza kuagiza nani afutiwe mashtaka, bila explanation, rais ana instruments za kufanya hivyo, hata kama ni kwa kumtumia DPP.Yaani Rais anaagiza tu ‘Fulani akamatwe’……‘Fulani aachiwe’.
So wrong on multiple levels.
Rais ana prosecutorial discretion kama DPP?Kama DPP ambaye ni presidential appointee anaweza kuagiza nani afutiwe mashtaka, bila explanation, rais ana instruments za kufanya hivyo, hata kama ni kwa kumtumia DPP.
Similarly kwa IGP.
Suppose Rais, kupitia nguvu zake za kupata habari kitaasisi, anaona hapa watu wanaonewa kwa sababu Polisi wanajipendekeza kwangu wanafikiri mimi nataka wapinzani waandamwe, na mimi sitaki wapinzani waandamwe, hapo unataka Rais akae kimya?
Rais anaweza ku consult na appointees wake wote wakiwamo DPP, AG, IGP.Rais ana prosecutorial discretion kama DPP?
PumbavuHaya ni maoni yangu.
Nawe una yako.
Uhuru wa kusema ni pamoja na kuchagua cha kusema, lini na mahali gani kisemwe.
Kama unaona saluni kunakufaa wewe peleka disinformation yako huko.
Nukta.
Typical banana republic stuff!Rais anaweza ku consult na appointees wake wote wakiwamo DPP, AG, IGP.
Akawauliza, jamqni, hapa vipi, mbona wap8nzani wanakamatwakamatwa? Wamevunja sheria gani?
Akaambiwa mheshimiwa, hapa hamna sheria iliyovunjwa, ni Polisi tu wanajipendekeza kwako, wamesikia kauli yako fulani, wameitafsiri kama umeagiza wapinzani wakamatwe.
Rais akasema mimi sijaagiza wakamatwe. Kama ni hilo tu, sitaki wakamatwe on my account. Kwanza inaniharibia image ya nchi.
Makamanda wakapiga saluti. Wakawaachia wapinzani.
Ndivyo alivyofanya Kikwete hivyo. Si kwamba aliamrisha tu.
Nataja hili kwa watu wanao mu excuse rais wa sasa kwamba hana responsibility. Kwamba this is jus a polive matter.
Jambo linapotajwa na BBC World Servive na Al-Jazeera linakuwa suala la kuhusu brand ya nchi tayari. Kama wapinzani wamefanya jinai, sawa. Lakini kama ni kesi za kubambikiana tu, rais hatakiwi kukaa kimya.
Rais hajakosa option hapa. Tuna precedent ya Kikwete alikataa serikali yake kukamatakamata watu bila sheria wala mantiki.
PumbavuSawa, baadaye kidogo nitakuwekea hapa hati ya mashtaka ya jaribio la uhaini dhidi ya Mbowe na wenzake.
Actually, kama polisi wanapeleka nchi kuwa banana republic kwa kukamata wapinzani wasio makosa, halafu rais akawarudisha mstarini hivyo, rais atakuwa anazuia nchi isiende kuwa banana republic. Siyo anapeleka nchi kuwa banana republic.Typical banana republic stuff!
No rule of law. No separation of powers.
No respect for the constitution.
The president is not supposed to exert undue influence on such matters.
Law enforcement officers are not supposed to bring trumped up charges against people for political reasons.
Hatujielewi kabisa sisi!!!
Sikia dogo hayo hayaepukiki yalikuwepo na yatakuwepo tangu enzi za Yesu!! hkn jipya!! ndo maana ya Taasisi ya Urais!! sasa Rais samia kuwepo pale ndo maana yupo kiutendaji tumejipanga!!! lazima sisi Ngano km taasisi ya Rais, tuishi na Magugu ndani ya wana ccm hayakwepeki hayo!! hata wende kuzimu yapo!Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.
Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?
Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.
Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.
Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Marais ndo huwa wanazifanya nchi ziwe banana republic kwa kukiuka katiba, kuingilia majukumu yasiyo yao, nk, kwa kutumia state organs kama polisi na majeshi!Actually, kama polisi wanapeleka nchi kuwa banana republic kwa kukamata wapinzani wasio makosa, halafu rais akawarudisha mstarini hivyo, rais atakuwa anazuia nchi isiende kuwa banana republic. Siyo anapeleka nchi kuwa banana republic.
Rais ana constitutional instruments na discretion ya ku consult, advise na get advise from DPP, AG, IGP. No?
Wewe unataka Rais aone nchi inaungua akae kimya tu kwa sababu ya kuogopa kuonekana anaingilia appointees wake? Wakati anaweza kurekebisha mambo?
Hata kama hilo linakuwa hivyo mostly.Marais ndo huwa wanazifanya nchi ziwe banana republic kwa kukiuka katiba, kuingilia majukumu yasiyo yao, nk, kwa kutumia state organs kama polisi na majeshi!
Yawezekana hao waliokamatwa wana makosa kweli…..Hata kama hilo linakuwa hivyo mostly.
Lakini rais akiona polisi wanakamatakamata wapinzani bila sababu, wakifikiri hivyo ndivyo rais anavyotaka, rais hana wajibu hata wa kusema tu hataki wapinzani wakamatwe bila makosa kwa polisi kufikiri hivyo ndivyo rais anavyotaka?
Kwa sababu sasa hivi watu wana mu excuse rais kwamba hawa ni polisi tu wanajipendekeza, rais hajaamuru wapinzani wakamatwe.
Sasa, if that is the case, kwq nini rais asiseme tu stop already, not in my name?
Kuna context ya logical argument ya kumu excuse rais inayohusiana na rais kuongea na appointees wake inayofuatiliwa hapa kwa watu waliokwisha concede kwamba polisi wamekosea, lakini wamekosea wenyewe bila kuamrishwa na rais.Yawezekana hao waliokamatwa wana makosa kweli…..
Na Rais alishasema watu wasiwe wanabimbikiwa kesi….jambo ambalo sisi wapenda haki tumekuwa yuko Lise a kwa muda mrefu!
Kama polisi wamekosea si itaonekana mahakamani kwenye kesi….Kuna context ya logical argument ya kumu excuse rais inayohusiana na rais kuongea na appointees wake inayofuatiliwa hapa kwa watu waliokwisha concede kwamba polisi wamekosea, lakini wamekosea wenyewe bila kuamrishwa na rais.
Sasa mimi ndiyo nauliza. Kama ni hivyo, huyo rais hawezi kuongea na appointees wake wasiwafunge kimakosa hao wapinzani?
Hii logical thread ni tofauti kabisa na assumption yako kwamba wapinzani wamekamatwa kihalali, ambayo nishaisema kama ni hivyo, wapinzani wana jinai, kinachotokea sasa hivi ni sawa tu.