Hakika mkuu ruaharuahaSiku zote wanajiona, wanafikiri wamezaliwa kutawala. Katiba mpya itasaidia kuondoa huu upuuzi wa kupendelea wachache, jina la baba yako, unanijua mimi ni nani.
Itawapa fursa vijana wenye akili, maono, wanaolipenda taifa kuweka maslahi ya taifa mbele.
Wanasahau wazee, baba zao, Enzi zile wote tulikuwa maskini wa kujitambua, elimu ya darasani.
Inaheshimika na nani? Upuuzi mtupu. Kufunga watu kwa kesi za uongo? Kununua wapinzani?Kama hii siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.
Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.
Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.
Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona
Acha uongo una ushahidi unayoyasema? Vipi umeshahama Chagadema au? CCM itatawala mpaka mwisho wa kiama kwa akili hizi za upinzaniCCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Kwa hoyo waliokuwa wanazomea ccm ya Polepole ni hao wawili tu?CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Pia cuf ya maalimu iliheshimika kuliko cuf leprofesorer/buguruni🤔Kama hii siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.
Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.
Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.
Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona
Wengine waliokotwa kwenye virobaKwa hoyo waliokuwa wanazomea ccm ya Polepole ni hao wawili tu?
Basi ccm ya Nape ilikuwa hoi
Na wewe ukabaki?Wengine waliokotwa kwenye viroba
Umeandika vice versa madam. Punguza hasira.CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Magufuli alifariki baada ya Mungu kuona mateso ya w6ananchi.Alifariki tarehe 17/03/2021Acha uongo una ushahidi unayoyasema? Vipi umeshahama Chagadema au? CCM itatawala mpaka mwisho wa kiama kwa akili hizi za upinzani
Kuteka, kutishia watu kwa silaha hadharan, kupiga watu risasi hovyo, virobo vyenye miili kuokotwa ufukwen nk nkInaheshimika na nani? Upuuzi mtupu. Kufunga watu kwa kesi za uongo? Kununua wapinzani?