Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Mchele nilikuwa naagiza kutoka Kamsamba Debe moja shilingi 22,000 Juzi nimeagiza nimelipa shilingi 27,000 kwa Debe.Si pesa zimemwagwa nyingi unasema nondo chakula je?? Umeounguza unga na mchele vingine vimepanda ni mpishank tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Still mfumko wa Bei ni mkubwa, nilishangaa takwimu za Juzi za Mhe. Rais kuhusu mfumko eti umeshuka sijui watendaji walipika data🙌