Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
- Thread starter
-
- #201
Mkuu usichanganye mambo Kati ya ukwel kuhusu raia kuporwa fedha zao na juu ya fungu la malipo ya walioporwa!! Hapa dhana yangu ni ukwel kuhusu walioporwa tu!!Kukosekana kwa ukweli wa anayosema ndio ubogus wenyewe. Angesema kuwa katika bajeti ya mwaka huu serikali imetenega kiasi kdhaa kufidia waliodhulumiwa angeonekana mkwelie kuliko kusema kuwa serikali imewalipa fidia kimya kimya from nowhere. Yeye siyo Waziri wa fedha, wala wizara yake haihusiki kabisa na malipo hayo.
Sukuma gang huna faidaKama vile ukoo wenu haujatengeza makaburi.
Hakuna mahali nimeuliza ukweli wa walioporwa, nilichouliza ni ukweli wa malipo yanayodaiwa kufanywa. Hiyo ndiyo habari kuu. Unaposema mambo jitahidi kuyaelewa kabla ya kuyajibu.Mkuu usichanganye mambo Kati ya ukwel kuhusu raia kuporwa fedha zao na juu ya fungu la malipo ya walioporwa!! Hapa dhana yangu ni ukwel kuhusu walioporwa tu!!
Sipo hapo kukupa faida.Sukuma gang huna faida
Umepiga ramli vizuri1. Thamani ya Tshs itashuka 2. Watu watatakatisha pesa zao kwa amani 3. Ugaidi utaibuka tena pale Kibiti.
ALIKUA SAHIHI SANA.
Jiwe alikuwa ni mporaji wa nguvu za watu.Wajati hizo fedha zinachukuliwa na maduka kufungwa zilitolewa sababu na serikali ...hizo sababu zilikuwa uongo? Serikali lazima ijue mambo yaliyokuwa yanafanyika watu waliyajua na hatua zilizochukuliwa zilinusuru uchumi wa nchi...hakuna shida yoyote kubwa inayojitokeza baada ya mabenki kufanya hii kazi ya kubadilisha fedha za kigeni na kwa kweli shilingi ya tanzania imekuwa stable kwa muda mrefu.
Jiwe alikiwa mporaji mkubwaALIKUA SAHIHI SANA.
Nimeandika mengi sana nikafuta ila kifupi waulize watu wa mabenki, wanajua usahihi wa hizo sera na operation za namna hiyo, wanajua zime solve matatizo gani kwenye economy ya nchi.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Jiwe mwenyewe alipiga 1.5 trillionALIKUA SAHIHI SANA.
Nimeandika mengi sana nikafuta ila kifupi waulize watu wa mabenki, wanajua usahihi wa hizo sera na operation za namna hiyo, wanajua zime solve matatizo gani kwenye economy ya nchi.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kiaje kushushwa?Safi, na walioshushwa mishahara wao lini kurudishiwa mishahara yao
Yule Jamaa alikuwa Looser sana badala atafute mbinu za kuongeza pesa anakomaa na Kupora pesa za watu ,hivyo kabisa.Jiwe alikiwa mporaji mkubwa
Kwa wafanya biashara walioporwa fedha zao kijambazi kuwarudishia peke yake haitoshi, wanapaswa pia kulipwa fidia. Muda wote huo wangekuwa wameingiza faida kiasi gani? Walioufanya ujambazi ule wamechukuliwa hatua gani?Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Jiwe hatokaa asamehewe iwe kwa amani au kihamaKwa wafanya biashara walioporwa fedha zao kijambazi kuwarudishia peke yake haitoshi, wanapaswa pia kulipwa fidia. Muda wote huo wangekuwa wameingiza faida kiasi gani? Walioufanya ujambazi ule wamechukuliwa hatua gani?
Kitu cha ajabu ni kwamba pesa hizo(za kigeni na shilingi za Kibongo) ziliporwa kihuni, wanajua vipi kiasi cha kila aliyeporwa au wanawakadiria tu?
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Kumbe CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAO ni waporaji kiasi hiki kama sio chama kilishiriki katika uporaji huo kwa Nini kilikaa kimya wakati wananchi wake wakiporwa na hao majambaziKwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Jiwe alikuwa mporaji na tuKumbe CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAO ni waporaji kiasi hiki kama sio chama kilishiriki katika uporaji huo kwa Nini kilikaa kimya wakati wananchi wake wakiporwa na hao majambazi
Na huyo unaemwita anarejesha tabasamu ni serikali inayowafurahisha hao watu au ni pesa zake binafsi Ili nami nianze pambio za kusifu
Sema tu mnabahati mnaongoza kundi la akili ndogo
That's a zillion dollars question, pesa ziliporwa kihuni nyingine wakazichikichia hao vibaka/askari na kiasi kingine ndiyo kikapelekwa BOT.Hivi kweli kulikuwa na proper documentation ya fedha zilizochukuliwa , vifaa, docs etc etc
Magufuli hakuwa kumfukuza mwekezaji! Ila yeye mwekezaji akiwa mwizi huyo sio mwekezaji ni mwizi kama wezi wengine tu. Na changamoto tuligonayo ni kuwa ao wawekezaji janja janga mara nyingi huwa wanaletwa na viongozi wetu, yaani unakuta ata Rais ni dalali wa mfanyabiashara fulani.Dola sasa hivi ni Sh ngapi? Ni 2300 hiyo hiyo,
Shilingi ya Tanzania imeimarika zaidi dhidi ya fedha nyingine za nchi jirani Tangia Magufuli afariki
Mfano hii ni Shilingi ya Kenya iliyokua sh 22 dhidi ya Tz na sasa ni Sh 17
View attachment 2558898
Halafu Mkapa unamfananisha vipi na Magufuli? Mkapa alifanya privatization na kufungua nchi kwa wawekezaji na uchumi ukakua, Magufuli alikuwa anafanya kinyume, kuua mashirika binafsi na kufukuza wawekezaji