Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Kukosekana kwa ukweli wa anayosema ndio ubogus wenyewe. Angesema kuwa katika bajeti ya mwaka huu serikali imetenega kiasi kdhaa kufidia waliodhulumiwa angeonekana mkwelie kuliko kusema kuwa serikali imewalipa fidia kimya kimya from nowhere. Yeye siyo Waziri wa fedha, wala wizara yake haihusiki kabisa na malipo hayo.
Mkuu usichanganye mambo Kati ya ukwel kuhusu raia kuporwa fedha zao na juu ya fungu la malipo ya walioporwa!! Hapa dhana yangu ni ukwel kuhusu walioporwa tu!!
 
Mkuu usichanganye mambo Kati ya ukwel kuhusu raia kuporwa fedha zao na juu ya fungu la malipo ya walioporwa!! Hapa dhana yangu ni ukwel kuhusu walioporwa tu!!
Hakuna mahali nimeuliza ukweli wa walioporwa, nilichouliza ni ukweli wa malipo yanayodaiwa kufanywa. Hiyo ndiyo habari kuu. Unaposema mambo jitahidi kuyaelewa kabla ya kuyajibu.
 
Wajati hizo fedha zinachukuliwa na maduka kufungwa zilitolewa sababu na serikali ...hizo sababu zilikuwa uongo? Serikali lazima ijue mambo yaliyokuwa yanafanyika watu waliyajua na hatua zilizochukuliwa zilinusuru uchumi wa nchi...hakuna shida yoyote kubwa inayojitokeza baada ya mabenki kufanya hii kazi ya kubadilisha fedha za kigeni na kwa kweli shilingi ya tanzania imekuwa stable kwa muda mrefu.
 
Wajati hizo fedha zinachukuliwa na maduka kufungwa zilitolewa sababu na serikali ...hizo sababu zilikuwa uongo? Serikali lazima ijue mambo yaliyokuwa yanafanyika watu waliyajua na hatua zilizochukuliwa zilinusuru uchumi wa nchi...hakuna shida yoyote kubwa inayojitokeza baada ya mabenki kufanya hii kazi ya kubadilisha fedha za kigeni na kwa kweli shilingi ya tanzania imekuwa stable kwa muda mrefu.
Jiwe alikuwa ni mporaji wa nguvu za watu.

Mama amekuja kuwarudishia haki zao wote waliofanyiwa huo ukatili.

Hongera sana mama yetu kwa kututoa kwenye majonzi aliyotuwachia Jiwe
 
Wastaafu wanaohangaikia mafao yao kisa waajiri hawakuwasilisha michango kikamilifu wao machozi yao yanafutwa lini?
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".

Kwa wafanya biashara walioporwa fedha zao kijambazi kuwarudishia peke yake haitoshi, wanapaswa pia kulipwa fidia. Muda wote huo wangekuwa wameingiza faida kiasi gani? Walioufanya ujambazi ule wamechukuliwa hatua gani?
Kitu cha ajabu ni kwamba pesa hizo(za kigeni na shilingi za Kibongo) ziliporwa kihuni, wanajua vipi kiasi cha kila aliyeporwa au wanawakadiria tu?
 
Kwa wafanya biashara walioporwa fedha zao kijambazi kuwarudishia peke yake haitoshi, wanapaswa pia kulipwa fidia. Muda wote huo wangekuwa wameingiza faida kiasi gani? Walioufanya ujambazi ule wamechukuliwa hatua gani?
Kitu cha ajabu ni kwamba pesa hizo(za kigeni na shilingi za Kibongo) ziliporwa kihuni, wanajua vipi kiasi cha kila aliyeporwa au wanawakadiria tu?
Jiwe hatokaa asamehewe iwe kwa amani au kihama
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".



Ha ha ha

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

Hii statement inaharibu uhalalo wa mengine yote, Mpaka leo kuna Mahotel hayainuka. Au kufunguliwa
 
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?

===
Nape akiwa Clouds FM amesema

"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"

"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".

"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"

"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.


Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".

Kumbe CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAO ni waporaji kiasi hiki kama sio chama kilishiriki katika uporaji huo kwa Nini kilikaa kimya wakati wananchi wake wakiporwa na hao majambazi
Na huyo unaemwita anarejesha tabasamu ni serikali inayowafurahisha hao watu au ni pesa zake binafsi Ili nami nianze pambio za kusifu

Sema tu mnabahati mnaongoza kundi la akili ndogo
 
Kumbe CHAMA CHA MAPINDUZI NA SERIKALI YAO ni waporaji kiasi hiki kama sio chama kilishiriki katika uporaji huo kwa Nini kilikaa kimya wakati wananchi wake wakiporwa na hao majambazi
Na huyo unaemwita anarejesha tabasamu ni serikali inayowafurahisha hao watu au ni pesa zake binafsi Ili nami nianze pambio za kusifu

Sema tu mnabahati mnaongoza kundi la akili ndogo
Jiwe alikuwa mporaji na tu
 
Dola sasa hivi ni Sh ngapi? Ni 2300 hiyo hiyo,
Shilingi ya Tanzania imeimarika zaidi dhidi ya fedha nyingine za nchi jirani Tangia Magufuli afariki

Mfano hii ni Shilingi ya Kenya iliyokua sh 22 dhidi ya Tz na sasa ni Sh 17
View attachment 2558898


Halafu Mkapa unamfananisha vipi na Magufuli? Mkapa alifanya privatization na kufungua nchi kwa wawekezaji na uchumi ukakua, Magufuli alikuwa anafanya kinyume, kuua mashirika binafsi na kufukuza wawekezaji
Magufuli hakuwa kumfukuza mwekezaji! Ila yeye mwekezaji akiwa mwizi huyo sio mwekezaji ni mwizi kama wezi wengine tu. Na changamoto tuligonayo ni kuwa ao wawekezaji janja janga mara nyingi huwa wanaletwa na viongozi wetu, yaani unakuta ata Rais ni dalali wa mfanyabiashara fulani.

 
Back
Top Bottom