Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
we nyau kahangaike na umaskini wako, acha chuki za kipuuzi Samia ni mpango wa Mungu kuiponya nchi yetu iliyovurugwa na yule mshenzi. Katiba iko sahihi we uelewa wako ni shida pili ni chuki na hsda imekujaa.
 
Tatizo hawa wanaopewa nafasi ya kusimama kama Makamu wa Rais huchukuliwa kama wasindikizaji tu, watu wepesi wepesi, ili ku- balance gender.

Sasa bahati mbaya kwetu, huyu "mwepesi mwepesi" amejikuta ameingia ikulu kwa mlango wa nyuma, matokeo yake ndio haya, anatuthibitishia alivyo mwepesi kwa kuzigawa bure bandari zetu zote Tanganyika kwa wajomba zake.

Mimi naona sasa hili liwe funzo kwetu, kwani licha ya kubadili sheria baada ya kifo cha Rais aliyepo madarakani mambo yaende vipi, lakini pia, panahitajika umakini mkubwa sana wanapoteua jina la mgombea mwenza wa Rais, huyu ndie mshauri namba moja wa Rais, hatakiwi kuwa kilaza.

Kwasababu imeonekana huyu makamu anaweza kuingia ikulu bila kutarajiwa, sasa kama mtu asiyetarajiwa akiingia ikulu, huku upeo wake ukiwa unatia mashaka, matokeo yake ndio anakosa msimamo, anapelekwa hovyo na kundi analoliamini, na pale anapoamua kufanya jambo lake, basi ndio anakosea 100% huku akigoma kubadilika.
we kweli kima huna akili, Sisi tunamshukuru sana mwenyenzi Mungu kutupa rais km huyu, ni mwelewa na ana akili nyingi sana. akili siyo mapumbu we fala
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
wangese mtakuja na kila topic kumhusu rais wetu mpendwa lakini hamtafanikiwa atakuwa rais wetu mpaka 2030. Subiri ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkona hoja ..makamu anaweza kulonga rais ili yeye achukuwe nafasi
 
we kweli kima huna akili, Sisi tunamshukuru sana mwenyenzi Mungu kutupa rais km huyu, ni mwelewa na ana akili nyingi sana. akili siyo mapumbu we fala
Samia sijui anajiskia vipi huko alipo kuwa na watetezi wa sampuli yako🫣🫣[emoji1787][emoji1787]
 
Samia sijui anajiskia vipi huko alipo kuwa na watetezi wa sampuli yako🫣🫣[emoji1787][emoji1787]
Rais Samia ameituliza nchi na ana uwezo mkubwa tu wa kutuvusha. Watanzania waliokuwa ukimbizini nje ya nchi wamerudi na wanaongea kwa uhuru. Watu wengi waliokuwa magerezani wakiwa wanasubiri makeso ya uwongo wameachiwa. Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru wao bila tushio la kunyang'anywa fedha zao. Ajira na kupanda madaraja kunafanyika Serikalini japo ni kidogo. Tishio la WASIOJULIKANA waliokuwa wanateka na kuua hatunalo tena. Na matusi kwenye majukwaa ya hotuba za Rais yamekoma

Tuzidi kuukosoa mkataba wa bandari na DP WORLD mpaka asikie na kubadili msimamo. Bandari haijauzwa ili ina vipengere vya HOVYO


Mwisho wa yote Rais Samia ndiye kiongozi bora ambaye Mungu ametupa baada ya yule Dikteta wa Chato kuharibu nchi yetu.
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
hata CCM naamini kuwa wamengundua kuwa katiba ya sasa ilikuwa na mapungufu kuhusu kipengele hicho.wanajuta
 
Rais Samia ameituliza nchi na ana uwezo mkubwa tu wa kutuvusha. Watanzania waliokuwa ukimbizini nje ya nchi wamerudi na wanaongea kwa uhuru. Watu wengi waliokuwa magerezani wakiwa wanasubiri makeso ya uwongo wameachiwa. Wafanyabiashara wanafanya biashara kwa uhuru wao bila tushio la kunyang'anywa fedha zao. Ajira na kupanda madaraja kunafanyika Serikalini japo ni kidogo. Tishio la WASIOJULIKANA waliokuwa wanateka na kuua hatunalo tena. Na matusi kwenye majukwaa ya hotuba za Rais yamekoma

Tuzidi kuukosoa mkataba wa bandari na DP WORLD mpaka asikie na kubadili msimamo. Bandari haijauzwa ili ina vipengere vya HOVYO


Mwisho wa yote Rais Samia ndiye kiongozi bora ambaye Mungu ametupa baada ya yule Dikteta wa Chato kuharibu nchi yetu.
wanaongea kwa uhuru gani wakati police wanawaita kujieleza?
 
Hili la kutawaliwa na ccm bila kikomo limeathiri ssna akili za watanzania,sijui tutajikwamua vipi.Bora hata kupe unamtoa ila hao jamaa ni makatili hasa unapotishia maslahi YAO.
 
Kuna kauli ya tulia kwamba mbeya iko salama wakati akitetea dp world,ni kauli fikirishi sana kama una free mind.
 
Nyie wenzetu hua mnaishi mitaa gani? Mbona huku kwetu mitaa haiamini kabisa unachokisema especially kwenye kutokukubalika kwa Magufuli?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kipimo halisi cha kukubalika ni kuheshimu uchaguzi, au kwenye uchaguzi hao watu wa huko mitaani hawapigi kura? Ni sawa na kusema fulani ana akili sana, lakini ikifika siku ya mtihani anataka mitihani ya wizi.
 
Hilo ni wazo zuri sana japo kuwa siku 90 ni kama siku chache sana kiasi kwamba ile huzuni itakuwa bado haijaisha.Mimi naona mwaka mmoja unafaa zaidi maana ile huzuni ya kufiwa inakuwa imepungua na hivyo watu kupiga kura kwa furaha ili kuwaondoa warithi wa madaraka incopetent kama huyu tuliyenaye sasa
 
Back
Top Bottom