LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Hii ni sasa; hiyo ilikuwa...Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Barafu nawe ni Bavicha?Yaani feedback ya bavicha ndio unaona feedback ya raia? Mitandaoni wamejaa bavicha...
Hii ya jana haitoshi, yaani dua aka kisomo?Mama pia ajizindike, na ikibidi aagize Wataalamu wa Kingazija waje kushield laa sivyo atarushiwa Uchawi na genge lillilopita la Wachawi
Kama watoa maoni ni watanzania, na mitandao inafanikisha hutoaji wa maoni kwa ufanisi zaidi, na katiba inataka wananchi kutoa maoni kuhusu maisha yao, kwa nini mitandao isimfikie?Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Maamuzi binafsi maana yake nini? Kabla ya kufanya maamuzi yeyote lazima uwe na information. Mitandao ya kijamii ina msaidia kupata information na feedback hivyo kumsaidia kufanya maamuzi sahihi.Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.
Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
Mzee umenuna yule empty head wa UVCCM kutumbuliwa?Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Isingekuwa mitandao jana asingetengua ule uteuzi wa uvccm aliyewekwa tpdc.Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Sehemu pekee iliyobaki kwa jamii kutoa dukuduku ni kwenye mitandao ya jamiiKwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii.
Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe sahihi.
Kwa siku hizi chache hilo ni jambo ambalo nimeona ni muhimu kufanyika na wasaizidi wake.
My few cents.
Hata wewe hujulikaniMbona ninyi mlikuwa munatuma Watu wasiojulikana kufanya kihalifu dhidi ya Watanzania.
Yap mitandao ni platform ambayo ipo huru, akichashauriwa na akina Mwigulu atadanganywa sn.Wacheni Mama apangue apange timu itakayoendana na Kasi yake ya ukweli
Halafu achukue na ushauri wa Kigogo 14 kuhusu akina Ole Sabaya na wenzake
Well said, mfano mzuri ni akina Trump na Uhuru KenyattaMimi sidhani kama anaweza kusoma kitu mtandaoni halafu akakibeba hivyo hivyo.
Lazima atafanya uchunguzi wake kujiridhisha.
Na sio kwamba ndio anategemea mtandao as a main source.Naamini hii ni mojawapo tu kati ya njia zake nyingi kupata taarifa na kushauriwa.
Inawezekana pia haya ni maamuzi ya system yake na wanamsaidia kuhakikisha anapata anachotaka na sio kwamba ni yeye mwenyewe yuko mtandaoni full time au kwamba yeye personally ndio anaendesha zile accounts zake.
Inawezekana pia uwepo wake mitandaoni unaleta mtazamo fulani kwa jamii ambao in turn unaipa system feedback fulani wanayoitaka kirahisi tofauti na kama wangejificha na kutokuwa public.
Pia pre emptying ni mojawapo ya faida inayoweza kupata system ya mama kwa wao kuzoeleka mitandaoni kama hivi.(kama una idea ya intelijensia utanielewa hapo).
System inabadilisha mbinu kila wakati kulingana na mahitaji ya wakati kwa namna wao wanavyotaka kuendesha nchi.
Hivyo hata baadhi ya tabia kiongozi anafundishwa kuziadopt ili awe na taswira fulani katika jamii kwa wakati fulani na sababu fulani.
Nikudokeze tu kwamba sio mama pekee aliyeingia mtandaoni,viongozi wa serikali ya awamu ya sita wengi wameanza kuwa very active mitandaoni.
So nadhani this is planned na system iko aware na huenda ndio architecture wa hili kwa sababu wajuazo wao.
Nakubaliana na wewe maana hatuna hata bunge this time, hili ni bunge huru kabisaSehemu pekee iliyobaki kwa jamii kutoa dukuduku ni kwenye mitandao ya jamii
Mama asipopita humu anaweza asijue uelekeo wetu kama taifa
Dunia imebadilika sn alafu yeye anataka tubaki kwenye analog nawakati watu wapo kwenye digitalIsingekuwa mitandao jana asingetengua ule uteuzi wa uvccm aliyewekwa tpdc.
Yaani mataga kasoma sunday school yohana university anataka akaongoze shirika la petroli ili wakaibe vitalu vya gesi na mafuta.
Enu tuliza papa muache mama afanye anavyotaka
Mtaalam unataka raisi wetu aishi Karne ya 16 ,Ila wananchi wake waishi Karne ya 21?Unaweza ukaliweka hivyo na ukaeleweka na baadhi ya watu ila lengo langu ni kumpa muda wa kuwa na maamuzi binafsi yasiyotokana na influence nyingine hasa wakati huu anapoanza kufanya kazi.
Huko mbeleni haina shida ila kwa sasa itamfanya asiwe na misimamo yake binafsi na watu watashindwa kuielewa misimamo yake yeye mwenyewe.
Mkuu huu ubabe wa kunyimana taarifa kuna watu wananufaika nao,Nakubaliana na wewe maana hatuna hata bunge this time, hili ni bunge huru kabisa
Suala ni kudhibiti taarifa nyeti zisiwafikie watu kama Kigogo2014.Opinions nyingi za mitandaoni zinatolewa kwa malengo ya vukundi flani,
Ukifuatilia sana mambo ya mitandaoni itakua ngumu kufanya maamuzi binafsi, tutakua tunaongozwa na opinions za watu badala ya maamuzi ya kitaasisi,
Nimeandika kwa lengo jema tu, ushauri huu unaweza usizingatiwe pia.