Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

Kushauri mtu kiongozi aliyekuwa na vyeti kuomba nomination ya kutuwakilisha kimataifa ni kutotumia ubongo?

Ulitaka aende nani mkuu? Dotto Magari?
Sasa huko atakwenda nani.paul makonda au daudi bashite?
 
Makonda amesomea nini? Ana Bachelors ya kitu gani?

Kama unasema hana qualifications za udokta maana yake kuna vitu vingine atakuwa amebobea.
Masters ya kuteka na kutesa na kuuwa R I P Ben Sanane. Pole Lissu kwa ulemavu wa kudumu
 
Akifika huko WHO atatumia jina lake halisi la DAB, au ataendelea kutumia hili la mtu mwingine?
 
unatumia nn kufikiri na kusema hivyo
 
Vyeti viko wapi?

Ndo muda sahihi huu wa yeye kuonesha kuwa ana vyeti.

Hata kama ni vya Education avilete tutavipokea

Tunachotaka sisi apate hiyo nomination. Au hujaona alivyokuwa mchapakazi mkuu?

πŸ˜€
 
Makonda amesomea nini? Ana Bachelors ya kitu gani?

Kama unasema hana qualifications za udokta maana yake kuna vitu vingine atakuwa amebobea.
Sasa kama educational background tu imeshamtoa kwenye kinyang’ganyiro, hayo mambo mengine dont count likija suala la kupata nafasi za juu kwenye mashirika ya kimataifa
They dont play around, na pale kuna majembe kutoka nchi zingine yenye qualification kuliko yeye
 
WHO ni UN halafu makao makuu ya UN ni NEW YORK na Kaka kule amepigwa BAN. Huu ushauri na mapendekezo yako hayana msingi. Jaribu tena baadae 🀣🀣🀣
 
Makonda apigwe brush chapchap wa masuala ya afya, kisha jina lipelekwe kabla ya deadline.
Nawaza kama liCCM
 
Makonda akili yake ni ndogo haifit ile post
 
"Samahani mheshimiwa hivi unamjua Bashite..
Hili ni jipu jipya toka Koromije..
Limesha iva na usaa limeshatunga..
Nakukabidhi sindano ya kulidunga..
Daktari haogopi ukubwa wa kidonda..
We si Dr wa majipu tumbua hakuna kuvunga.."
Hivi Ney alitoka salama kwenye hii mistari(Hakutekwa)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…