Mkuu, Katiba tukianza kuiona ni kama hitaji la chama, ndiyo vitu hivi vinajitokezaHuwa najiuliza kwa nini CCM wawaone vyama vingine kuwa na uchu wa madaraka ilhali wenyewe hawako tayari kuyaachia hayo madaraka? Linapokuja suala la uongozi, tuongee kwa nafsi zetu, Viceversa ni unafiki mtupu.
Mwanachamaless
Kutoaminiana kwa lipi wkt sote ni nchi moja? Katiba Bora ni mfumo imara utakaomuongoza yeyote atakepata ridhaa ya wananchi.Mkuu, Katiba tukianza kuiona ni kama hitaji la chama, ndiyo vitu hivi vinajitokeza
CCM watasema wanaohitaji katiba siyo wananchi kwa ujumla bali ni wanasiasa, kitendo ambacho kutoaminiana lazima kiwepo
Lakini suala la Katiba likivaa sura ya Kitaifa, nakwambia mh SHS hatakuwa na nguvu ya kulizuia
Kutoaminiana kwa lipi wkt sote ni nchi moja? Katiba Bora ni mfumo imara utakaomuongoza yeyote atakepata ridhaa ya wananchi.
Mifano tunayo, angalia Afrika ya Kusini wanavyoiishi katiba yao, hata Malawi tuu hapo.
Tatizo wanasiasa wanatufanya Mazombie kwa maslahi yao binafsi
We mwenyewe elimu huna ndio maana huwezi kujua umuhimu wa katiba.Mimi pia huwa nashangaa jinsi watu wanavyoweka mkazo kwenye katiba mpya zaidi ya ubora wa elimu yetu.
Tungekuwa na elimu ya viwango stahili suala la katiba lingekuwa agenda ya wananchi karibia wote na sio sasa ambapo wenye shida nayo ni wanasiasa, wanaharakati na wasomi tu.
Tungekuwa na elimu bora watanzania wasingeruhusu kuvunjwa kwa katiba, kuchezewa uchaguzi na mihimili mingine ya serikali kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.
Tunachohitaji haswa na elimu ya bora kwa ujumla na ya uraia ili tusije hata tukipata katiba mpya watu wakaendelea kuivunja maana watu ni walewale na uelewa ni ule ule na tabia zilizile.
Ndio hapo tunapofeli kuwa na katiba yetu, Tunataka hata hao wasiokuwa na elimu wajue umhimu wa kuwa na katiba inayogusa maisha yao na wajue kwamba wanawajibu wa kuipigania na kuiteteaWe mwenyewe elimu huna ndio maana huwezi kujua umuhimu wa katiba.
Uzuri ni kwamba, Chdma wanapasha kiporo kilichopikwa na Ccm, na wengi hatuna vyama ila tunaona Kuna umuhimu wa Katiba kwa sasa.Nadhani hapa, kinachofanya katiba yetu iwe ngumu kupatikana, ni pale inapoonekana inadaiwa na wanasiasa badala ya wanaharakati huru wasioegemea chama chochote
Siasa zetu zimechafuka mno mkuu, Kwa tulipofikia, Ni rahisi kwa jambo mhimu kama hili, CCM na vyama vingine visivyoamini katika Chadema, basi ni rahisi kuona hilo ni jambo la chadema kama ambavyo Chadema hupuuza kila kilichojema kinachoanzishwa na CCM
Kupatikana kwa katiba hii tunayoihitaji sana, ni aidher, Chadema wanyamaze, kuzaliwe makundi mengine kabisa yasiyoshabihiana na chadema wala CCM, naamini ni rahisi kusikilizwa
naona nyote ni wavuta bangi tu ivi ndio hamuelewe au ndio bangi zimekolea wee kijana wacha ujinga ikiwepo katiba yenye mashiko Mahkama itakuwa huru majaji watapata kazi zao za ujaji kwa merit sio kwa ajili ya kuisaidia CCM wewe chukuwa mfano wa wanaoshikwa halafu wanawekwa jela miaka 20 eti upepelesi haujakamilika engekuwa kweli kuna katiba ya maana sio hii ya kipuuzi majaji wengekuwa wanajiamini kwasababu kazi hawakupewa na ccm wengemwambia jamuhuri nakupa miezi mitatu ukamilishe upepelezi vyenginevyo ukija tena na upuuzi wako eti upelelzi haujakamilika nakupiganayo ya uso kesi yako usinipotezee time yangu vipi kwanza unamshika mtu wakati huna ushahidi.Jamaa anakubaliana na wewe, ila anauliza, Mbona wanaoivunja katiba ni wengi tu na hata wale ambao katiba haiwalindi nao kwa nini hawadhughulikiwi?
Anasema, Je katiba mpya tunayoitaka, Itajipeleka mahakamani yenyewe kushitaki kwa nini inavunjwa?
Je, Itajiandamanisha kupinga kwa nini inavunjwa?
Au ni kwa namna gani hao wavunja katiba watashughurikiwa ikiwa Watanzania hawajui kudai haki zao na kama wakijua, sana sana wataandamana Mitandaoni na kudai haki hizo Mitandaoni?
itamsaidia sana kama itakuwa ni katiba ya maana sasa hivi mwnanchi anaishi kama mtumwa tu sio kama mwananchi mali yako mwenyewe inakantroliwa na serikali hata mbuzi wngu mwenyewe huwezi kuuza kama hujailipa serikaliKatiba inamsaidia nini mwanachi ambaye anahangaika kutafuta mlo mmoja kwa siku!?
Huna sifa ya kuwa mwl, Mbona ni mkali kiasi hiki wakati unahoja ya msingi tu kabisa bossnaona nyote ni wavuta bangi tu ivi ndio hamuelewe au ndio bangi zimekolea wee kijana wacha ujinga ikiwepo katiba yenye mashiko Mahkama itakuwa huru majaji watapata kazi zao za ujaji kwa merit sio kwa ajili ya kuisaidia CCM wewe chukuwa mfano wa wanaoshikwa halafu wanawekwa jela miaka 20 eti upepelesi haujakamilika engekuwa kweli kuna katiba ya maana sio hii ya kipuuzi majaji wengekuwa wanajiamini kwasababu kazi hawakupewa na ccm wengemwambia jamuhuri nakupa miezi mitatu ukamilishe upepelezi vyenginevyo ukija tena na upuuzi wako eti upelelzi haujakamilika nakupiganayo ya uso kesi yako usinipotezey e time yangu vipi kwanza unamshika mtu wakati huna ushahidi.
sasa hivi ukiisema CCM police anaweza kukuweka ndani na hakuna mtu wakukutetea ukiisema ccm huwezi kufanya biashara yoyote ikafanikiwa mpaka usifu ccmNikikuuliza wewe hio katiba iliyopo inakusaidia nini so far? Unaweza kunijibu kwa ufasaha labda! Inakunufaisha in what ways mpaka utake nyingine as if you have stakes on it!?
wee kijana uko wapi umewahi kwenda kijijini ebu nenda ukaone wanakijiji wanavyoteswa utafikiri ni watumwa hawana uhuru kwa mali zao wenyeweKwani katiba inamsaidia nini mtu aliyeko Kijijini zaidi ya wanasiasa kugombania keki ya taifa?
Mwelevu maana yake nini wewe kisimi? sasa mtu hata kuandika hujui unataka kubishana na mimi, kiufupi una akili ya kukuwezesha kunya tuu, am done with you ***** sana.Unatumia kipimo kipi kujisema wewe ni mwelevu?
Au ndio nyie wajingawajinga mnaoulinda ujinga wenu kwa matusi kutukana watu pindi mnapoambiwa hamnazo?
Kufunga pingu na ujinga, sio jambo dogo, ukitaka ujiondoe kwenye mnyororo huo uliopo, Acha upumbavu na kiburi cha kijinga kinachokusukuma ujione ni mwelevu na wakati wewe ni kilaza mmoja hivi usiyeelewa chochote
Haya, tumekwambia, Ng'aka tena kwa kuulinda upumbavu wako kwa vijitusi vyako hivyo
Jinga sana wewe
Hata Draft ya Warioba si tuu kwamba ilitoa Kinga kwa Rais akiwa madarakani na baada ya kuacha madaraka kwa hiyo ishu sio Rais kushitakiwa.Mkuu umeambiwa kuwa katiba iliyopo hairuhusu Rais kushitakiwa popote wala kuwekwa mtu kati.
Hivi nikisema kwamba draft ya Warioba ilikataliwa na wajumbe utabisha? Kazi ya Bunge la Katiba ni kusema ndioooo au kujadili na Kisha kuamua? Kiufupi draft ilikataliwa na wajumbe ndio maana ikawekwa pembeniMkuu suala hili linapaswa kuwa agenda ya taifa maana ishatumika pesa nyingi katika mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya ila leo unashangaa mtu anasimama sio agenda ya wananchi ukimuuliza tume ya jaji warioba ilitumika kukusanya maoni kwa wananchi wa nchi gani mpaka wewe unasema sio agenda ya wananchi hana jibu
Kuna baadhi ya vitu Kama taifa watu tunapaswa kushikamana imefika wakati mtu kupata haki yake Mpaka kiongozi fulani aumue huu ni ujinga Kama taifa tunapaswa kupinga vita ujinga maana hata Baba wa taifa aliona mbali kusema ujinga ni miongoni mwa maadui wa taifa
Unafortunately Draft ya Warioba ilitoa Kinga kwa Rais kama kawaida.Pili Ili mambo yafanyike ni lazima commitment yako na si vinginevyoKwa mujibu wa katiba rais ni kama tu Mungu wa nchi
Na hiyo imefanya mihimili yote kuwa chini yake
nadhani viongozi wa hii mihimili wanatokana na rais pia kwahiyo mambo Meusi yanayofanyika huko yana baraka za Mungu wa nchi kwa hiyo hilo shtaka utalipitishia wapi
Rais hana hofu ya kuvunja sheria
Anatoa order tu
Maelekezo kutoka juu
Sasa hii inawahakikishia usalama hawa viongozi wa huku chini na wao wakiwa na mambo yao binafsi yanayoenda kinyume na sheria hawana hofu kwa kuwa ni wanafamilia tu wa bwana mkubwa.
Nguvu ya kumshtaki mkuu wa wilaya tu utaitoa wapi kwenye mahakama gani kesi hiyo itapita.
Yote hii ni katiba tupunguze mamlaka ya rais kupitia katiba hawa viongozi wengine wapatikane kwa njia nyingine isiyohusiana na connection na rais. Na rais ashtakiwe akienda wrong.
Mihimili ijitegemee na rais ashtakiwe hii itasaidia, kesi zitakuwa nyingi tu tofauti na unavyofikiri wewe
Lakini lengo la kubadili katiba siyo hili tu la kuwapunguzia madaraka na kushtaki watu hapana. Lakini kumbuka pia lengo la katiba ni kupunguza madaraka ya viongozi wa serikali ambao ni CCM.
CCM wewe na wenzio hamko tayari kwa hilo kwa namna yoyote ile kwa kuwa madaraka yakipungua hamtakuwa na uhakika wa kulindana na kubaki na madaraka ndiyo mana mnakuja na hoja dhaifu kiasi hichi hapa.
Hoja yenye mashiko hamna.
Jambo dogo tu, tuangalie uchaguzi uliopita ni zao la katiba tulio nayo ndiyo maana tunafikiria kuibadilisha, kuachana na hayo mengine yote hoja na hitaji la katiba mpya ni uchaguzi uliyopita wewe unaongeleaje uchaguzi uliopita ni sahihi kwa kilichotokea?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo inatakiwa Katiba itakayohama kunufaisha ccm ianze kunufaisha chadema?ππππ Acheni upumbavuChanzo cha huyu spika kutowajibishwa ni Katiba yetu mbovu inayompa rais ufalme.
Kwa muktadha huo basi, kama kuwepo kwa Covid-19 bungeni kungekuwa kunamuudhi rais siku nyingi sana wangekuwa washaondolewa.
Lkn kwa kuwa ni Mungu mtu, na kwa kuwa kuwepo kwa Covid-19 bungeni Kuna mnufaisha yeye na chama chake ndiyo maana wapo hadi leo .
Usiulize ananufaikaje. Kuna ka kipengele ka kutoa misaada ya mrengo wa demokrasia kanataka bunge liwe na wabunge wa upinzani
Kuna watu wapinga demokrasia,hawataki kukubali ukweli huu..Hivi nikisema kwamba draft ya Warioba ilikataliwa na wajumbe utabisha? Kazi ya Bunge la Katiba ni kusema ndioooo au kujadili na Kisha kuamua? Kiufupi draft ilikataliwa na wajumbe ndio maana ikawekwa pembeni
Ohoo! JF imevamiwa. Zamani JF kulikuwa na watu wenye akili tu.Kwa hiyo inatakiwa Katiba itakayohama kunufaisha ccm ianze kunufaisha chadema?ππππ Acheni upumbavu