Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Roho ina kuuma na kuku kereketa, choyo imekujaa dhidi ya uislamu,Waajemi hawatishiwi nyau, wamesomq ilmu ahera Hadi wakabobea, ukiwaua ni kama umewawahisha tu kwa wale 72
Kama wangekuwa ni taifa la Mungu wala wasinge hangaika mwaka mzima sasa kupambana kutoka jasho na wana mgambo mia mbili wa palestine wacheni kumuhusisha Mungu na watu wa hovyo Mungu hapendi dhuluma!Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent π€«
Israel sio taifa Wala kabilaNiutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent π€«
Enheee...Duh aiseee hatari
Kuishi kwa Shemeji ni raha sana.
Umedanganywa sana na manabii uchwara wakoIsrael sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Tuna ehh, Tuma, kesha olewa. Juwata Jazz BandHaya Tuma! π
Utabiri wako uliowahi kutimia niule ulio muua Bensatisa tu kwa sababu ulishiriki katika mauwaji.
Upuuzi mtupu. Jitahidi uwe unatumia akili zako mwenyewe achana na hadithi za kutungwa na wajanja ili kukuhadaa mtu mweusi usiyekuwa na uwezo wa ku criticise mambo.ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe
Mi najiuliza tu una akili timamu!?Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Baada ya kutupa update ya vita ya israel na iran mwamba amechill mjengoni kwake
Taifa la Mungu sio hili lililopo sasa mkuu,this Israel founded by the Rothschild family through the Balfour Declaration in 1948 is fake.Fungukeni.Mungu hawezi kutumia agents wa Shetani kama akina Rothschild kuanzishwa Taifa lake. Soma Ufunuo 2:9 na 3:9 uone ukweli huu ambao Bwana Yesu mwenyewe aliuweka bayana kabisa.The true identity of Israel has been hijacked by the evil Khazarian Tribe,the Ashkenazi, Zionists or Khazarian Mafia.Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent π€«