Na Rukwa pia kuna ziara ya Rais nadhani sometime mwisho wa mwezi huu.Anakwenda Kigoma Ziara Hivyo Siyo Sasa Teuzi
Chadomo bwanaTozo zimemponza
Alikuwa Sirali na Wala sio mara ya kwanza kwa Mwigulu kuzunguka..Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?
Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂
Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.. Madam President akirejea kutoka Kenya uwenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for Nation.
Hao ni bakora za Chadema, haitakuja kutokea kutolewa kwenye Baraza la Mawaziri..Ni kweli mabadiliko ya baraza yanahitajika lakini walio boronga ni watotobpendwa hivyo usitegemee kipya na hakuna kitu kama hicho
January na Mwigulu walitakiwa kutoswa shida Rais anaogopa na anaona aibu
Chadomo wanahangaika na Mwigulu na Makamba kwa chuki zao za kindeziSijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"
The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.
Hayo majina mawili ni mfano wa viongozi wajinga na walafi, waliovimbiwa madaraka ndani ya nchi yetu.Chadema wanahangaika na Mwigulu na Makamba kwa chuki zao za kindezi
Kwa kipimo chako au siyo?Hayo majina mawili ni mfano wa viongozi wajinga na walafi, waliovimbiwa madaraka ndani ya nchi yetu.
Mvaa bendera ya taifa na muuza mitungi ya gesi wakwende zao, tumewachoka bana.Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.