Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Hapa hawezi kuula P,kweli🤔
 
Umenena kamanda kwa sababu raia wengi wanafikiri kuwa kubadili mawaziri na watawala wengine kila uchao ndyo maendeleo yatakuja!. Kinachotakiwa hapa ni uzalendo wa kweli na si unafiki, uzushi na uzandiki wa akina Mwigulu Nchemba wa kutumia v6 ya milioni 560 halafu wanajitokeza kwa ujinga wao kuwa katika kugusagusana Kuna kukosea (tozo). Mwigulu anagusana na nani hasa????
Mwigulu mpuuzi sana, katutoa Burundi, sasa anatupeleka kugusana gusana..
 
Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?

Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂

Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Hamuna peace of mind !! Hiyo ni shida kubwa sana !! Fanya haki katika maisha yako ili uishi na amani ya Bwana !!
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Huo sio utabiri ni ubashiri kwa sababu tayari kuna matukio ya malalamiko kuhusiana na baadhi ya mawaziri hivyo hizo ni hisia au umedokezwa na mtu wa karibu na mamlaka ya uteuzi kwamba kuna jambo litafanyika.

*Acha kujikweza kwamba unatabiri wakati ni suala ambalo halipo kwenye akili za kibinadamu.........utabiri unahusisha ulimwengu wa roho sio hisia zinazoongozwa na matukio yaliyopo yanaonekana au kuathiri jamii na mifumo iliyozoeleka kutenda kazi.
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Ndugu Wakt mwingine unachanganya utabiri na habar za Moto Moto toka jikoni.
 
Ata PM naye Kapwaya sana pamoja na yule Baba Paroko wa TAMISEMI.Lakini ukituliza kichwa lile Baraza zima hamna kitu kabisa,Mama aanze upya tu.
 
Impact ya Muigulu Ni negative, apumzishwe ashughulikie Mambo ya kubet na usafiri.
Huyu mzaramo naye Hana anachofanya kwa Sasa, arudi tu Kisarawe.
Nitashangaa wa afya akiachwa maana mwenyewe kakiri Muhimbili kumejaa rushwa lkn hajachukua hatua zozote anategemea nini Kama sio huduma za afya kuendelea kuporomoka. Akwendre.
Makamba piga kazi mgosi.
MNH pale ni sikio la kufa, halafu jamaa wanaumoja wao mkubwa sana
 
Nadhani nafasi za mawaziri ziwe za kuomba kazi, wenye sifa wapewe nafasi na tume ya maadili iwe imejiridhisha kikamilifu na hata baada ya usahili wao kuwe na vetting na wajumbe wawe kutoka vyama vyote vya siasa hapo lazima tupate viongozi bora sana
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Uliwahi kuulizwa hapa, ulimpeleka wapi Ben Saanane, maana wewe ndiyo mtu wa mwisho hapa JF kumtishia maisha and since then hajulikani alipo....hujawahi kujibu hilo swali?
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Mnazidisha maisha ya tetesi.

Tujadili utatuzi wa changamoto za ncbi.

Haya mavyeo vyeo waachie hulo watenguane viuno
 
Uliwahi kuulizwa hapa, ulimpeleka wapi Ben Saanane, maana wewe ndiyo mtu wa mwisho hapa JF kumtishia maisha and since then hajulikani alipo....hujawahi kujibu hilo swali?
Mkuu,

Ukitaka kufanikiwa maishani mwako bila kuzingatia kilichotokea fanya haya yafuatayo:
1. Tambua kwamba wewe na binadamu mwingine mna upungufu lakini unaweza kufanya kitu kingine na ukafanikiwa
2. Samehe na ujisamehe mwenyewe maana ulishawahi kutenda pengine vibaya zaidi kuliko huyo unayehisi amekuumiza
3. Jikubali mwenyewe na mkubali mtesi kisha karma itatenda haki sawa yenyewe bila kuongozwa
 
Back
Top Bottom