Utabiri usiozingatia muda ni uganga tu. Mtu akitabiri kuwa Tanzania itapata ukame does it mean anything?Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.