Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Utabiri usiozingatia muda ni uganga tu. Mtu akitabiri kuwa Tanzania itapata ukame does it mean anything?
 
Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Tabiri ni nyingi wanasema mama akitoka Kenya tena 🤣🤣

Rasimu ya warioba tu
 
Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?

Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂

Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Tokea nimepata ufahamu sijawahi kuona nchi hii waziri wa fedha akifanya ziara mikoani.

Inaelekea hawamuheshimu Rais kabisa.

Wanamfanyia masihara mengi.
 
Mwigulu bado yupo yupo Sana mpk 2020. Kila afanyacho kina baraka za mama.
 
Impact ya Muigulu Ni negative, apumzishwe ashughulikie Mambo ya kubet na usafiri.
Huyu mzaramo naye Hana anachofanya kwa Sasa, arudi tu Kisarawe.
Nitashangaa wa afya akiachwa maana mwenyewe kakiri Muhimbili kumejaa rushwa lkn hajachukua hatua zozote anategemea nini Kama sio huduma za afya kuendelea kuporomoka. Akwendre.
Makamba piga kazi mgosi.
 
Wampe huyu CAG aliyetoka majuzi Kichele akaingia
Chini ya uongozi huu wa mama hata mkiazimwa waziri toka Ulaya ni bure.
Waziri ni mtekelezaji na mshauri tu.
Lakini maamuzi yatoka kwa raisi.
 
Sijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"

The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.

Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.
Na kweli

Utakuta wao hao hao ndo wanapost

Watulie tu
 
Ni kweli mabadiliko ya baraza yanahitajika lakini walio boronga ni watoto pendwa hivyo usitegemee kipya na hakuna kitu kama hicho

January na Mwigulu walitakiwa kutoswa shida Rais anaogopa na anaona aibu
Hawagusiki hao
 
Sijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"

The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.

Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.
🤣🤣🤣🤣
 
Ni kweli mabadiliko ya baraza yanahitajika lakini walio boronga ni watoto pendwa hivyo usitegemee kipya na hakuna kitu kama hicho

January na Mwigulu walitakiwa kutoswa shida Rais anaogopa na anaona aibu
Kosa la January Nini?
 
Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?

Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂

Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Mwigulu anafikiri kuwa Ni Rais ndo sababu siku ya bajeti wakati anaelekea bungeni alikuwa na msafara lukuki akipanya tozo za wadhulumiwa.
 
Sijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"

The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.

Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.
Umenena kamanda kwa sababu raia wengi wanafikiri kuwa kubadili mawaziri na watawala wengine kila uchao ndyo maendeleo yatakuja!. Kinachotakiwa hapa ni uzalendo wa kweli na si unafiki, uzushi na uzandiki wa akina Mwigulu Nchemba wa kutumia v6 ya milioni 560 halafu wanajitokeza kwa ujinga wao kuwa katika kugusagusana Kuna kukosea (tozo). Mwigulu anagusana na nani hasa????
 
Back
Top Bottom