Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Natabiri Mabadiliko Madogo Baraza la mawaziri. Wawili kama sio mmoja kutemwa

Tokea nimepata ufahamu sijawahi kuona nchi hii waziri wa fedha akifanya ziara mikoani.

Inaelekea hawamuheshimu Rais kabisa.

Wanamfanyia masihara mengi.
Sio tz tu hata kwingineko duniani
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.

[emoji1430]
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Duh...!. Mkuu umetisha!.
P
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.

Yamekua
 
Imetimia ila mdunguaji analengo na mtu risasi imempata mmoja ila analenga mwingine so this is an alert bado kuna madiliko yatafanyika kumtoa mwingine ambaye ataumia sana.
 
Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.

Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.

Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....

Pray for our Nation.
Hakuna cha utabiri bali huwa mnakuwa na taarifa ya nini kitafanyika afu mnakuja Kujifanya mnatabiri,kama tuu alivyokuwa Kigogo..
 
Imetimia ila mdunguaji analengo na mtu risasi imempata mmoja ila analenga mwingine so this is an alert bado kuna madiliko yatafanyika kumtoa mwingine ambaye ataumia sana.
😁😁 Hapa ndipo Rais Samia huwa anawapiga chenga, yaani mnatamani mapenzi yenu yatimie ila inakuwa Kinyume..

Mwigulu hatoki Leo wala kesho
 
Back
Top Bottom