Utabiri usiozingatia muda ni uganga tu. Mtu akitabiri kuwa Tanzania itapata ukame does it mean anything?Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Well"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Well"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
TumainEl ni ccm kindaki ndani acha chuki zako kwa wanachama wanasiasa wanaojielewa.Chadomo wanahangaika na Mwigulu na Makamba kwa chuki zao za kindezi
Tabiri ni nyingi wanasema mama akitoka Kenya tena 🤣🤣Igweeee niswachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasiku mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Tokea nimepata ufahamu sijawahi kuona nchi hii waziri wa fedha akifanya ziara mikoani.Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?
Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂
Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Anakagua pesa mikoani.Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?
Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂
Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Watu wameanza kujitengenezea mitandao, Kikwete style!Mvaa bendera ya taifa na muuza mitungi ya gesi wakwende zao, tumewachoka bana.
Tozo zimemponza
Khaaa mbona hawana uwezo kabisaRizwan Jakaya Kikwete = Waziri wa fedha
Makonda = waziri wa nishati
Chini ya uongozi huu wa mama hata mkiazimwa waziri toka Ulaya ni bure.Wampe huyu CAG aliyetoka majuzi Kichele akaingia
Na kweliSijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"
The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.
Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.
Hawagusiki haoNi kweli mabadiliko ya baraza yanahitajika lakini walio boronga ni watoto pendwa hivyo usitegemee kipya na hakuna kitu kama hicho
January na Mwigulu walitakiwa kutoswa shida Rais anaogopa na anaona aibu
🤣🤣🤣🤣Sijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"
The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.
Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.
Kosa la January Nini?Ni kweli mabadiliko ya baraza yanahitajika lakini walio boronga ni watoto pendwa hivyo usitegemee kipya na hakuna kitu kama hicho
January na Mwigulu walitakiwa kutoswa shida Rais anaogopa na anaona aibu
Mwigulu anafikiri kuwa Ni Rais ndo sababu siku ya bajeti wakati anaelekea bungeni alikuwa na msafara lukuki akipanya tozo za wadhulumiwa.Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?
Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂
Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Umenena kamanda kwa sababu raia wengi wanafikiri kuwa kubadili mawaziri na watawala wengine kila uchao ndyo maendeleo yatakuja!. Kinachotakiwa hapa ni uzalendo wa kweli na si unafiki, uzushi na uzandiki wa akina Mwigulu Nchemba wa kutumia v6 ya milioni 560 halafu wanajitokeza kwa ujinga wao kuwa katika kugusagusana Kuna kukosea (tozo). Mwigulu anagusana na nani hasa????Sijui kwanini bado mnapenda hizo story za "mabadiliko ya baraza la mawaziri"
The truth is, hayo mabadiliko ya kila siku yameshaonekana hayazai matunda, ndio maana kila siku wanabadilisha tu, hivyo, hata wakibadilisha tena, na tena, hapatakuwepo na jipya.
Inatakiwa hii story ya "mabadiliko ya baraza la mawaziri" au "mkeka wa wakuu wa wilaya/mikoa umetoka" zizoeleke sasa, kama tulivyouzoea umaskini na ujinga nchini kwetu chini ya CCM.