Hapa hawezi kuula P,kweli🤔Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Mwigulu mpuuzi sana, katutoa Burundi, sasa anatupeleka kugusana gusana..Umenena kamanda kwa sababu raia wengi wanafikiri kuwa kubadili mawaziri na watawala wengine kila uchao ndyo maendeleo yatakuja!. Kinachotakiwa hapa ni uzalendo wa kweli na si unafiki, uzushi na uzandiki wa akina Mwigulu Nchemba wa kutumia v6 ya milioni 560 halafu wanajitokeza kwa ujinga wao kuwa katika kugusagusana Kuna kukosea (tozo). Mwigulu anagusana na nani hasa????
Hamuna peace of mind !! Hiyo ni shida kubwa sana !! Fanya haki katika maisha yako ili uishi na amani ya Bwana !!Waziri wa fedha unazunguka kufanya ziara za nini?
Eti anasikiliza maswali na kuyajibu😂
Sijawahi kuwaona akina Basil Mramba wakizunguka kwenye ziara mikoani.
Huo sio utabiri ni ubashiri kwa sababu tayari kuna matukio ya malalamiko kuhusiana na baadhi ya mawaziri hivyo hizo ni hisia au umedokezwa na mtu wa karibu na mamlaka ya uteuzi kwamba kuna jambo litafanyika.Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Hivi ukosefu wa akili kichwani ni kwa kizazi chako tu au ni ukoo wenu wote?Hao ni bakora za Chadema, haitakuja kutokea kutolewa kwenye Baraza la Mawaziri..
Ni kwa ukooo wenu woteHivi ukosefu wa akili kichwani ni kwa kizazi chako tu au ni ukoo wenu wote?
DuhRizwan Jakaya Kikwete = Waziri wa fedha
Makonda = waziri wa nishati
Ndugu Wakt mwingine unachanganya utabiri na habar za Moto Moto toka jikoni.Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Inaitwa kutafuta HURUMA ya wananchi. Ila wale muraaaaa wamempa za uso😀😀😀Kuna mungumtu anazunguuka hoko na kutapanya pesa kama mvua sijuwi ndo KAMPENI ZIMEANZA.....
MNH pale ni sikio la kufa, halafu jamaa wanaumoja wao mkubwa sanaImpact ya Muigulu Ni negative, apumzishwe ashughulikie Mambo ya kubet na usafiri.
Huyu mzaramo naye Hana anachofanya kwa Sasa, arudi tu Kisarawe.
Nitashangaa wa afya akiachwa maana mwenyewe kakiri Muhimbili kumejaa rushwa lkn hajachukua hatua zozote anategemea nini Kama sio huduma za afya kuendelea kuporomoka. Akwendre.
Makamba piga kazi mgosi.
Kwani kwa Magufuli ilikuwaje ? Naye aliwashindwa ?MNH pale ni sikio la kufa, halafu jamaa wanaumoja wao mkubwa sana
Huyo Mungu mtu anayejiita Dokta nimekutana na hela zake anashawishi Watanzania waunge mkono tozo kwa kutoa rushwaKuna mungumtu anazunguuka hoko na kutapanya pesa kama mvua sijuwi ndo KAMPENI ZIMEANZA.....
Wizara nyingi zina afadhali lakini Nishati pamoja na Fedha zina vilaza mafisadi wa kutupwaNionyesheni wizara 1 tu, inayofanya vizuri Kwa sasa,..
Maana yake hata watakaoondolewa na watakaobaki, hali zao ni zilezile kama mteuzi
Uliwahi kuulizwa hapa, ulimpeleka wapi Ben Saanane, maana wewe ndiyo mtu wa mwisho hapa JF kumtishia maisha and since then hajulikani alipo....hujawahi kujibu hilo swali?Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Mnazidisha maisha ya tetesi.Igweeee nisiwachoshe wala nisijichoshe.
Madam President akirejea kutoka Kenya huenda usiku mkasikia mabadiliko ktk baraza la maziri.
Na kwa vile utabiri unaonyesha mawaziri wawili watapigwa chini kama sio mmoja na wizara fulani nyeti itapewa mtu atakae teuliwa kwanza ubunge viti maalumu nakisha pewa wizara Utabiri sio leo sio kesho ila utabiri stay tune....
Pray for our Nation.
Mkuu,Uliwahi kuulizwa hapa, ulimpeleka wapi Ben Saanane, maana wewe ndiyo mtu wa mwisho hapa JF kumtishia maisha and since then hajulikani alipo....hujawahi kujibu hilo swali?
Wachaaa! Sh ngap kwa kichwa jaman[emoji85]Huyo Mungu mtu anayejiita Dokta nimekutana na hela zake anashawishi Watanzania waunge mkono tozo kwa kutoa rushwa