Mfa maji haachi kutapatapa mkuu.Halafu Mwigulu kamshauri Rais vibaya sana kuhusu tozo.Kama mshauri wa Rais hatoshi aondoke.Halafu kapandisha mabega sana kwa sababu ya pesa ya wizi ya Watanzania na matamshi yake yanamtia aibu sana Rais,he is simply not fit for the job.
Imetimia ila mdunguaji analengo na mtu risasi imempata mmoja ila analenga mwingine so this is an alert bado kuna madiliko yatafanyika kumtoa mwingine ambaye ataumia sana.