Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Sahihi akiisha maliza kazi alizotumwa hapa duniani ndipo atakufa na kila binadamu akimaliza majukumu yake lazima afe hakuna atakaedumu milele.
 
Kuna watu wapumbavu unadhani nchi zingine zinaongozwa kwa akili za ccm? Poor you, unaambiwq bora ya putin.
 
Kauli hiyo ilitoka kwa Jangili mzoefu
 
Alisikika mkaazi mmoja wa Yombo dovya akipayuka baada ya kunywa chang'aa
 
Wewe unakufa lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…