Nishapata assurance Sasa ngoja nije tupike mandazi, ngoja nipite Buchani nichukue kuku wa kienyejiπππHahha kwetu hamna hiyo
Mamaangu alinambia haji kufanya huo upuuz anataka nichague mwenyew Ili siku nikirud kulalamika aniulize mama si ulichagua mwenyew Sasa Rudi kapambane πππ
KwaniniWewe siyo Mwoaji!
AsanteKila la kheri.....Allah akufanyie wepesi.
Acha njaa πNishapata assurance Sasa ngoja nije tupike mandazi, ngoja nipite Buchani nichukue kuku wa kienyeji
Sasa Mbaruku unateseka nn nikiwa na Sapnah jikoni πAcha njaa π
Uko sahihi.Wewe bikra ni muhimu mno angalia bibi waliolewa bila ya kujua mme ,walizaa baba zetu wetu wote wakamfanana Babu na mama ivyo ivyo akina mama waliozaliwa miaka 50 kurudi nyuma.
Angalia wewe unaye sema kuwa bikra sio muhimu angalia kizazi chenu hata watt wenu hawana maadili.
Nikuambie tu ukiwa na bikra mwanaume anaku value mara mbili Kama ulikuwa huna bikra.
Wewe thamani yako ni bikra basi, hata Kama upo Kama mtt hujui kusoma,Wala hujui kutafuta pesa. Utaolewa na mwanaume mwenye kukupa mahitaji mpaka unakufa ama kuzeeka.
Check kule south Sudan binti anatolewa 530 cows na kitu Kama milioni 70 yaani kisa tu akatokea familia ya maadili na bikra anayo.
Huyo mwanamke haitakiwi hamjui mwanaume mwingine zaidi ya huyo mmewe ndio akafundishwa ivyo na sio nyie mnaangalia pesa hata utapitiwa na mbwa kisa ni pesa tu ndizo unazojali
Mleu chu nesukooo...hayang'u
Hahha karibuNishapata assurance Sasa ngoja nije tupike mandazi, ngoja nipite Buchani nichukue kuku wa kienyeji
πππJamniAcha njaa π
Mzoee tu Mbaruku anapitia kipindi kigumuπππJamni
π π π€Kwa namna hiyo wanawake watakosa na kujitunza
Aisee wanazifagia sana huko mtaaniHao washenzi watakuwa watu gani zaidi ya hawa wanaotafuta bikira hapa jukwaani JF??
Eti Mbaroukπ.Sasa Mbaruku unateseka nn nikiwa na Sapnah jikoni π
Eeeh noma Sana.πππJamni
ππππSimu yangu anae yy