Natafuta mwanamke wa kiislamu wa kuzaa nae

Bora nisingweka kigezo Cha dini ila nikiwa Natafuta naijua tu kichwani
 
Ndani ya miaka 3 mambo yakienda kama unavyotaka manzi anakuwa jumla ameingiza milioni 10
Hakuna surrogate atakayekubali kwa chini ya million 30. Halafu huyo hana uzoefu na haya mambo. Mwanamke akitoa yai lake, hakupi mtoto hata kwa manati. Inatakiwa yai lisiwe lake na akijifungua mtoto hata asimuone huyo mtoto maana huwa inaleta uhasama kati ya huyo mama na mtoto
 
Sasa si bora mtu ajue kabla kuliko kuzalisha mtoto wa watu akiwa hajui dhamira yako? Ningekua na pesa sa kutosha nongehama dini nioe wake 4 . Hata nikizipata Bado kuna tatizo kuhusu familia yangu ya sasa
 
30 Kwa Hali yangu ya sasa ni parefu sana
 
Mbona kuna watu wamezaa na mwanamke ametoa mtoto akae na baba?!
 



Tuanze na huu kwanza

Ungeanza kujitafuta wewe kwanza kabla hujaongeza kiumbe kingine kitakachokuja kupata tabu sababu ya uzembe wa baba yake
 
Kwa hiyo umekuja kuniharibia? Anyway naomba na Uzi fulani Nani huamua idadi ya watoto kwenye ndoa? Nitashukuru.
 
Aisee ni ngumu ninavyowajuwa wadada wakislamu weh umeingia chaka la kongo hivi kwanza utawaambia nini wazazi wake unamzalisha halafu unachukua mtoto walahi humpati tupo hapa ukipata nipe mrejesho
Mbona wengi tu wamezalishwa na wameachwa?
Kuwa kwenye dini fulani haimanishi u-mkamilifu. Dini ni mpango wa mwanadamu ndiyo maana kuna mpaka mahakama ya kadhi zipo
 
Hawezi kupata tabu uwekezaji Kwa watoto wangu ni first priority
 
Kumbe anatuchezea tu! Hivi anadhani kuna mwanamke abebe mimba miezi 9 ajifungue kwa uchungu then amtoe mtoto kiulaini! Hakuna kitu kama hicho duniani
 
Kwa hiyo umekuja kuniharibia? Anyway naomba na Uzi fulani Nani huamua idadi ya watoto kwenye ndoa? Nitashukuru.

Kwa hiyo na wewe umekuja kuwaharibia wengine?
Mtu unanuka madeni,huna muelekeo na bado unataka kuongeza majukumu ambayo yatakushinda

Kwanza hakuna mwanamke timamu akuzalie badae akuuzie mtoto
 
Labda tukupe mimba wewe na pesa hio Kama itafaa
 
Hawezi kupata tabu uwekezaji Kwa watoto wangu ni first priority
Moja ya sababu ya kutokua na hela za kutosha ni hao watoto. Wanasoma shule nzuri na hawajawahi lala njaa. Nimeshajua siwezi kuwa na legacy ya maana ila nataka watoto wa kutosha na dedication ni COWARD OF THE COUNTRY.
 
FaizaFoxy
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…