Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
nna jamaa yangu alikuwa kwenye jeshi (sijataja jeshi gani) badae akaanza tambo kama zako kuwa kaacha jeshini kaingia usalama

kila siku wimbo wake ukawa huo, mara aniambie mzee flani ni usalama yaani stori zake ni kuhusu usalama basi mie sijawahi kuwa interested

majuzi kati akawa na shida na 100k nikamjibu tiss wa wapi huna koneksheni ya kupata 100k. mimi siba hela

ikabidi afunguke anatafuta 500k akahonge apate kazi flani serikalini hivyo nimsaidie bado nikagoma wewe (yeye ) ni TISS na amewahi nambia ivo kwa nini ahangaike badala ya ofisi kumfanyia wepesi

aliikosa ile kazi, badae nikamwambia kilicho mponza ni kujifanya TISS badala ya kusema ukweli asaidiwe

akafunguka alifukuzwa kwenye hilo jeshi mapema mwaka huu ko anatafuta namna kuingia serikalini

acheni kuigiza mko TISS wakati uwezo wenu wa akili unawashtaki
Mkuu TISS hawaangalii uwezo wa akili Kama wangekua wanaangalia uwezo wa akili Tanzania isingekua nchi maskini baada ya miaka 60

Ili uwe TISS Tanzania kuwa kada wa ccm na jua kuwa chawa wa viongozi ccm technically tayari wewe ni TISS
 
Nyie ndie wale mnaowatekaga wapinzani na kuwayeyusha ktk uso wa dunia, Damu zao zinawasumbua sasa. pole mkuu tubia then move on na maisha mengine
Huyo hana uwezo hata wa kubaka panzi achilia mbali kumteka binadamu.Ana psychosis effections za kutosha.
 
Jamii forum banah every body is some one with agreat job good salary good car hahahhahahah
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Nawasilisha
Jamaa yangu mmoja yeye daily kalewa tu, nadhani hii kazi mhhhh..
 
Cheza uwanja uliouzoea na usitafute sifa kwa kuchafua ajira za wengine.
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Nawasilisha
Haupo TISS wewe na unaota!! TISS hakuna salary ya maana.
 
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Nawasilisha
Mimi nina 4 years nakomaa... Pole sana mkuu. Ukiacha umekwisha labda uwe na sababu zenye mashiko.
 
Hata mimi nataka kuancha kazi ya huu uwaziri niliokuwa nao,muda si mrefu najiuzuru,nchi ni vululu vululu tu,nikishauri sisikilizwii,yakiharibika nalaumiwa mimi,yaani ni ovyo ovyo tu,bora nikalime vitunguu huko kwetu ruaha

Yaan nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom