antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Thubutu,nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms
Dada yangu, mmeshakuwa Watu wazima sahiziHahaha tatizo wengi mna comments bila kuelewa nini nataka… mimi Sijasema kwamba nataka anitafute kila wakati hapana sio hivyo… unajua mtu anaekupenda utajua tu hata kama yu bize kiasi gani hawezi acha kutenga hata siku moja kwa ajili ya kuongea na mpnz wake kwa njia ya simu…hata kama ni dk 5 zinatoshaaa ili mradi tu ile communication iwepo
We kweli mwehu 😂🙌🏾Muache huyo anakupotezea muda..!!
Pesa hakupi, muda wake hakupi ila yeye akitaka kipapa unakipeleka 😹😹
Kuandika kwenye hujui 😅🙌🏾Aise mlembo wangu ko ndy umekuja kunistaki humu. 🙆 please mama la mama nakupenda Kuna mchongo nafanya mambo yata kaaa sawa siunajuwa shughulizangu ni swala ya mda mambo yatakuwa sawa na 4,4,3 means kila baada ya masaa 4 ntakuwa nakupigia simu na 3 kablwa ya kulala ntakuwa nakupigia mlembo wangu your my future wife ❤️❤️ usinihangushe mlembo wangu ntabandilika 🙏🙏🙏
Ni mtu ambae hana mambo mengi.. yaani sio wale wanaume masharobaro mtu fulani hivi Roho safi anampenda Mungu hayo mengine labda damu hazijaendana tuYaani nyie hamueleweki nikikuuliza innocent maana yake nini hata huwezi niambia!
hoja yangu sio kumwambia unamuhitaji,bali kumwelezea upungufu wake,na kumbuka kuwa panatokea mgogoro baina ya watu,iwe wawili au wengi,badi ujue kuwa kila mmoja amechangia kutokea kwa mgogoro huo,tofauti ni nani kachangia kiasi gani kwenye huo mgogoro,na pia usikimbie mgogoro utaikimbia mingapi?Pambana nao uso kwa usoKumuonesha mwanaume kuwa namuhitaji sana ndio nilishindwa mkuu
Kuongea kukujulia hali au? Maan unakuta ww unatak kumpigia simu ila una topic ya kuongea upo tu unasubili yeye ndo aongee ww ni mmmmh mmmhh. Tafta vitu interrestng vya kuongea au sababu y kuongea na mtu. Hvhv utaonekan pointless simu yko inaonekan hmn la maan hpa nikutaft kubembelezwHahaha tatizo wengi mna comments bila kuelewa nini nataka… mimi Sijasema kwamba nataka anitafute kila wakati hapana sio hivyo… unajua mtu anaekupenda utajua tu hata kama yu bize kiasi gani hawezi acha kutenga hata siku moja kwa ajili ya kuongea na mpnz wake kwa njia ya simu…hata kama ni dk 5 zinatoshaaa ili mradi tu ile communication iwepo
Nahisi kumwambia ni kama namlaumu and mimi sipendi mtu aone kama napenda kulalamika, mtu mwenye akili timamu anajua nini anafanya.. naamini kwamba huwezi kumtendea mwingine vitu ambavyo ukitendewa wewe utaumia, sijui wengine wanawezaje kuwaumiza wenginehoja yangu sio kumwambia unamuhitaji,bali kumwelezea upungufu wake,na kumbuka kuwa panatokea mgogoro baina ya watu,iwe wawili au wengi,badi ujue kuwa kila mmoja amechangia kutokea kwa mgogoro huo,tofauti ni nani kachangia kiasi gani kwenye huo mgogoro,na pia usikimbie mgogoro utaikimbia mingapi?Pambana nao uso kwa uso
Ndugu mimi sipigagi simu bila cha kuongea na sijawahi kupiga simu nikaongea nae chochote mara nyingi nikimpigia yu bize sasa naongea nae wapi…Kuongea kukujulia hali au? Maan unakuta ww unatak kumpigia simu ila una topic ya kuongea upo tu unasubili yeye ndo aongee ww ni mmmmh mmmhh. Tafta vitu interrestng vya kuongea au sababu y kuongea na mtu. Hvhv utaonekan pointless simu yko inaonekan hmn la maan hpa nikutaft kubembelezw
Sizani mimi najua kutakuwa na ka mtu ambako lazima akapigie simu kukauliza mawili matatuDada yangu, mmeshakuwa Watu wazima sahizi
Hamna mtu anayeweza kukuwaza siku nzima na Lundo la majukumu liliopo sahizi na pia kingine wanaume tunajifunza kwa experience, yaani wanawake mna kasumba ya kutuendesha tukiwekeza attention sana kwenu na ndio jamaa yako huyo hataki hicho kwa sasa
Daaah okayThubutu,
Huyo anayefanya hivyo atakuwa "mtoto wa mama".
Huyo mwamba kama anakupelekea moto na kukupa mpunga inatosha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Hii nimeikataa kwa nguvuANAKUPENDA SANA...ANA MPANGO WA KUKUOA
Una maanisha nini… unataka niteseke amaMwanamke akishaona hastail kuteseka umalaya ndio unaanzia hapo.
🤣🤣🤣Sasa kumbe unajitambua ila unajizima data sio?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Hii nimeikataa kwa nguvu
Basi ishu hapo ni. U dont feel loved na unachokihitaji n ww kujisikia unapendwa kwa kupigiwa simu( communication) ili aoeshe anakutakaNdugu mimi sipigagi simu bila cha kuongea na sijawahi kupiga simu nikaongea nae chochote mara nyingi nikimpigia yu bize sasa naongea nae wapi…
Unaelewa maana ya niliposema ukiona umepigiwa simu ujue ni siku mnaenda kuonana napo anapiga ili kutaka ajue ulipo akuelekeze zaidi ya hapo hutoona kapita zaidi ya sms tu na ukipiga hapokei atatuma sms am busy
Ndugu si kwamba sijitambui ni vile nachanganyikiwaa sanaa🤣🤣🤣Sasa kumbe unajitambua ila unajizima data sio?
Oooo oky kama unajua na mazingira yake yote huenda hapo ni mfumo tu wake wa maisha anao. Au haupo kwenye moyo wake bali hakilinitu. Sasa kaz kwako kua muamuz sahihi huku ukiijali kesho yakoKwenye kuwa mume wa mtu hapana ni mtu ambae tunafahamiana nae muda mrefu kabla ya mahusiano isitoshe ni bachelor boy ambae anaishi kigetogeto tu.. kubwa zaidi naloona ni kuwa hanipendi tu labda ana mtu wake anaempenda yeye ila hajaoa mkuu
Labda niseme hivyoBasi ishu hapo ni. U dont feel loved na unachokihitaji n ww kujisikia unapendwa kwa kupigiwa simu( communication) ili aoeshe anakutaka
Kizuri kula na mwenzako🤣Sijakataa ila yeye hapigi kabisaaaaa ukiona kapiga ni siku mnaenda kuonana na ile kuulizauliza umefika wapi pitia huko sijui nini mkimaliza hapo ni sms kwenda mbele