Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
MakalioKwan Kizimkazi hawajambandika sura ya yake barabarani? Haitoshi mpaka kwenye maokoto yetu iwekwe sura yake? Watu wengine huwa wanafikiri kwa kutumia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakalioKwan Kizimkazi hawajambandika sura ya yake barabarani? Haitoshi mpaka kwenye maokoto yetu iwekwe sura yake? Watu wengine huwa wanafikiri kwa kutumia nini?
View attachment 2897672
"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais
@SuluhuSamia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani
Iwekwe ya mumeo anayekuinamisha dailychadema mnakasirika nini mlitaka iwekwe ya mbowe
chadema mnakasirika nini mlitaka iwekwe ya mbowe
Nuksi ipi?Kama watafanya hivyo basi itakuwa ni ujinga wa kiwango cha juu Sana. Wazo hili linawezakupigiwa debe na wajinga, matapeli,wapumbavu, vilaza na takataka zingine. Lakini mzalendo wa kweli na mwenye utimamu sawasawa hawezi kukubali kutia nuksi sarafu ya nchi.
Kuwa na shida nyingi ndio kunazuia nini kujadili picha ya Rais kwenye Sarafu?Watanzania kwa unafiki na kujikomba hamjambo
Nchi ina shida nyingi za kujadiliwa mnajadili huu ujinga😏😏😏😏
2020 Mama Yako ndio alikuwa kwenye karatasi ya kura?Vituko kama hivi vinaletwa na watu wachache umu jf..mwananchi gani aliyewahi kumchagua uyo raisi
Inayumba kivipi?Then una wonder why nchi inayumba kimaamuzi? Aina hii ya wabunge? Imagine bunge lime contain ain ya watu hawa, it a shame
Hujaelewa nini?Kuwa na shida nyingi ndio kunazuia nini kujadili picha ya Rais kwenye Sarafu?
Without prejudice naliunga mkono jambo hili kwa sababu ndiye rais wa kwanza mwanamke.Naunga mkono wazo la Mbunge kuweka Picha ya Rais Samia kwenye Sarafu ya Tanzania ili kutunza kumbukumbu na alama muhimu ya Maendeleo ya Nchi yetu ,naunga mkono wazo la kuweka picha ya Rais Samia kwenye Sarafu ya Fedha zetu.
BoT fanyeni haraka wazo hili.
===
Mhe. Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, je, serikali haioni sasa kwamba kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia Suluhi Hassan kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?" - Mbunge Ng'wasi Kamani.
Itatunza historia muhimu ya Taifa na inamheshimisha Rais katika harakati z kuyatatua hayo unayoyaeleza.Kwahiyo hiyo picha itaongeza thamani ya shilingi kwa dola? Itapunguza bei ya sukari? Itaondoa mgao wa umeme? Yaani hili bunge kama hawa ndo wabunge basi lifutwe tu serikali iamue kila kitu. Ila hii tabia ya kujipendekeza itaua hii nchi