Tulia ivo ivo π€£π€£π€£π€£Wewe unayeniitaga mkuuπ
Chuga kumekuharibu sana
Mwanaume awe na pesa, akikosa six pack awe na kakitambi ka kufutia simuπ avute tubangi au tusigara kidogo kama havuti chochote kati ya hivyo basi awe mlevi akishindwa ulevi awe mnywajiπ€£gari ni lazima jamani jua ni kali na mvua pia ni nyingii mweehπππππ. Bila kusahau awe na mapenzi ya dhatiii kabisa + kucareπππMungu nipe maisha marefu yapo mengi sijayajua kumbe
Sasa tuwalize pole pole nyie jinsia ya KE nini mnataka?
wenye pesa
Wenye six pack
Wavuta bangi/sigara
Wenye gari
Ama vipi mbona mnatuchanganya sasa!
We ledada, jibu lako la kuuwa wanaume linahitajika hapa
Ni sanaπKidogoπππ
Usiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daaπJana nilienda mgahawa fulani kula, nikakutana na Dada mrembo sana sana na pete means mke wa mtu.
Hapakua na nafasi ya kukaa ikabidi nikae kiti cha kutazama naye, nikamsalimia, kila mtu akaendelea na mambo yake.
Alipokuja mhudumu nikamwambia "Ni aje Bro" yule Dada akatabasamu sana huku ananiangalia.
Nikamwambia vipi Dada? Tunaenda sawa au kuna shida nikupishe, akasema "napenda sana ulivyo msalimia huyo Kaka" Ni aje bro"
Akaniuliza wewe ni wa Arusha, nikamwambia nimezaliwa huko, kusoma huko, ila kwa sasa nipo Dar es salaam.
.Mazungumzo yalinoga, tukabadilishana namba, na tunaongea etc.
Naweza kuelewa unachosema
Usiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daaπ
Ngβombe hazeeeki maini peleka moto mzeeMimi nalala na mke wangu tu, Mzee mwenzangu, mambo ya kupeleka moto nimewaachia vijana.
OooohNinapenda mwanaume ambae ni mkimya halafu mwana ila awe mrefu mwembamba kiasiπ
Jaman nishushieni net niko katikati ya ndoto mbu wataningβata wanikatishe ndoto yangu
WeweUsiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daaπ
ππππππMtatuua Mbwa nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizoo una nn lakinii wee?Hata mimi nawapenda sana wavuta bangi.
Ni wagumu halafu watamuu. Wamekaza sio poaa oyaaaaaa [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo tulikubaliana avute bangi, ila sio kuwa tejaa.Wavuta bangi watamu sana mashalaaah
Achana na hawa wanaojifanya wasomi kutwa nzima YOU KNOW, OFKOZ, yess, me, this .. theee theee theee the the the....
Ukutane na kidume halisi mvuta bangi jamani shangazi mie nalowaaahhh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lamomy cocastic Dr. Mariposa
imeisha hiyo ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo tulikubaliana avute bangi, ila sio kuwa tejaa.
Mbna inaelewekaaaa
NakaziaaIla ukweli mademu wengi wanapenda sana wanaume wahuni wahuni.
Ongezaaa sautiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imeisha hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bangi kwa mbali, mizagamuo ya kushato [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kuwa makini kijana na kijambio chako utaumia hapa mjiniilo Tako limenidatisha nwenzako