Nawalaani wanaume wote waliodiriki na wanaoendelea kuwafanya kinyume na maumbile vijana wa kiume

Cha msingi ni kuonya Ke na Me kupenda Mteremko.

Chanzo cha kufirwa ni kupenda DEZO
 
Mkuu umenistua sana miaka 900 yote upo tu duniani? Kawaida tunapisha wengine waendelee kuishi
Mkuu baada ya dhambi kuzidi dunian ndo mana myaka inapungua kila Leo. Lkn kusingekuwa na dhambi Mungu angetutafutia namna ya dunia kujibalansi bila kuathiri maisha yetu
 
waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.

Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.

🥲🥲🥲 noma sanaa...
 
Laana itawatafuna kizazi chao cha kwanza na cha mwisho
 

Kanisa takatifu katoliki limetambua na kuanza kufungisha ndoa za wanaume kwa wanaume,
 
Mungu akafungue njia pasipo na njia....watu wakapone
 
Umetema madini mazito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…